Nape: CCM tunaitamani sana Moshi

Nape: CCM tunaitamani sana Moshi

wizi wa kura upo..

Hata kama CCM hatukuipenda Magufuri alijenga hoja tukamuelewa tukamkubali na tukamchagua na katuhaidi kubadilisha hata Chama Chake , nyinyi ukawa mlibaki kuzungusha mikono , jazba kibao , hamukutwambia mafuriko mnatupeleka wapi ,! Hatukuwaelewa , hamukutushawishi , hatukuwachagua
 
Kwa moshi mjini labda yesu arudi mpaka wanakuwa upinzani awalipati
 
Mtasema yote ndo tushampa ushind maguful hata aje agombee lowasa mwenywe na kivuli tutachagua kivuli, lowasa atakufa bila kuwa rais wa taifa hili

Sawa bwana mungu wa JF.
 
Hebu muulize watu wa dodoma na dar nani wanajielewa? Then Tabora na Arusha nani wanajielewa? Halaf malizia na hii Shinyanga na Kilimanjaro nani wanajielewa?

Halaf muulize na hili alipata nafasi ya kupitia report ya ESRF (economic and social research foundation) kuhusu hali ya maisha katika mikoa ya Tanzania kiuchumi na kijamii!? Vigezo walivyotumia ni MIAKA YA KUISHI, HUDUMA ZA AFYA NA MAJI SALAMA, VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO, KIPATO CHA KILA KAYA KWA MWAKA NA HUDUMA ZA UMEME NA ELIMU. Kama anaijua mikoa iliyoongoza na iliyo kuwa mkiani akutajie kama hajui mpe homework,

Mwisho achukue majibu ya uchaguzi mkuu mwaka huu then ajijibu mwenyewe akina nani wanajielewa na akina nani hawajielewi. Tuwasaidie hawa ni ndugu zetu taratibu wataelewa hatuwezi kuwaua au kuwatenga mana ukizaa mtoto mjinga ni wa kwako tu Muombe Mungu ampe ufahamu aweze kuelewa mafundisho na kutambua jema na baya ni rai yangu kwa watanzania wote tuwape sana mafundisho hawa ndugu zetu

Haka katabia cha kujifanya much know na kujitambua kuliko wananchi wenzenu kamesababisha mkose kura. Tangu lini mtanzania umtukane halafu akupe kura? Au unadhani "Maskini jeuri" ni msemo tu kwa watanzania? Watanzania wanadhamini heshima na utu kuliko pesa na dharau za UKAWA.
 
Hata kama CCM hatukuipenda Magufuri alijenga hoja tukamuelewa tukamkubali na tukamchagua na katuhaidi kubadilisha hata Chama Chake , nyinyi ukawa mlibaki kuzungusha mikono , jazba kibao , hamukutwambia mafuriko mnatupeleka wapi ,! Hatukuwaelewa , hamukutushawishi , hatukuwachagua

....kawaulize Tanga mjini mafuriko yamewapeleka wapi..
 
Hebu muulize watu wa dodoma na dar nani wanajielewa? Then Tabora na Arusha nani wanajielewa? Halaf malizia na hii Shinyanga na Kilimanjaro nani wanajielewa?

Halaf muulize na hili alipata nafasi ya kupitia report ya ESRF (economic and social research foundation) kuhusu hali ya maisha katika mikoa ya Tanzania kiuchumi na kijamii!? Vigezo walivyotumia ni MIAKA YA KUISHI, HUDUMA ZA AFYA NA MAJI SALAMA, VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO, KIPATO CHA KILA KAYA KWA MWAKA NA HUDUMA ZA UMEME NA ELIMU. Kama anaijua mikoa iliyoongoza na iliyo kuwa mkiani akutajie kama hajui mpe homework,

Mwisho achukue majibu ya uchaguzi mkuu mwaka huu then ajijibu mwenyewe akina nani wanajielewa na akina nani hawajielewi. Tuwasaidie hawa ni ndugu zetu taratibu wataelewa hatuwezi kuwaua au kuwatenga mana ukizaa mtoto mjinga ni wa kwako tu Muombe Mungu ampe ufahamu aweze kuelewa mafundisho na kutambua jema na baya ni rai yangu kwa watanzania wote tuwape sana mafundisho hawa ndugu zetu

Well said!hebu tufafanulie kitakwimu kwenye hiyo mikoa,ni ipi iliongoza na ipi iko nyuma,mi kwetu moshi,kama tuko nyuma nirudi tukapambane turekebishe hali.Watu kama nyie mnahitajika sana kuleta uelewa katika jamii,naona wengi hawajitambui.
 
Hivi dar esa salaam sio watanzania au wao hawakutukanwa?
 
Nawachukia sana wachangiaji wanaopenda kuongelea swala la KUFA hasa kwa mwanadamu mwenzako. Hii ni kujaribu kuingilia kazi na mamlaka ya MUNGU, ni makosa sana na dhambi kubwa.

Watu tujifunze kwa hawa tuliowaona na kuwasikia wakiongelea afya ya Lowasa na kutabiri kifo chake. Wengi washakufa na Lowasa bado yupo hai, akina mchungaji Mtikila wamefanya kosa chili leo wametangulia wao. Unapomsema mwanadamu mwenzako kuhusu afya yake na ukafikia hatua ya kubashiri kifo chake, kwa kawaida mtu huyo hujenga hali ya woga na pengine kuanza kumlilia MUNGU muumba wa wote. Kinachofata ni MUNGU kuonesha huruma kwake na hasira kwako uliebashiri hayo. Tufanye siasa au tuchangie mada na tuache mambo ya kutuletea laana.

Darts,
Umenena Vema sana.
Hakika nasikitishwa na kauli hizi za kishenzi toka mijitu ya CCM inayomtakia EL afe bila kuwa Rais.Kwa jamii ya wastaarabu huwezi kusikia kauli kama hizo kwani ni uchuro ndani ya Jamii.Kwa taarifa tu ni kwamba lugha hizi hufanya Mwenye enzi Mungu kukasirika na kuanza kutoa uhai katika jamii kama ilivyotokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka Huu.
 
Mbunge mteule wa Mtama (CCM) Bw. Nape Nnauye amesema CCM wanatamani sana jimbo la Moshi na kama wangekuwa wanachakachua matokeo wangekuwa wameshatwaa jimbo hilo. Maeneo mengine ambayo wanatamani zaidi ni Pemba na Karatu. Ameyasema hayo alipokuwa akijibu hoja za mbunge mteule wa Ubungo (CHADEMA) Bw. Saed Kubenea wakati wakihojiwa na Ivona Kamuntu, AzamTV. Kubenea amewatuhumu CCM na NEC kuhusu wizi wa kura. Pia Nape amesikitishwa na kile alichokiita 'kupigwa' kwa CCM kwenye mji mkubwa wa Dar es Salaam.

Waende tu wakayachukue kwani wana TISS,JW,polisi ,NEC na mahakama.Hata wakitaka kufuta vyama vyote wabaki wenyewe. Ulevi wa madaraka ni mbaya mno kuliko ulevi wa cocaine.
 
Darts,
Umenena Vema sana.
Hakika nasikitishwa na kauli hizi za kishenzi toka mijitu ya CCM inayomtakia EL afe bila kuwa Rais.Kwa jamii ya wastaarabu huwezi kusikia kauli kama hizo kwani ni uchuro ndani ya Jamii.Kwa taarifa tu ni kwamba lugha hizi hufanya Mwenye enzi kukasirika na kuanza kutoa uhai katika jamii kama ilivyotokea kwenye Uchaguzi Hutu.refugees

Nashukuru sana
Tujitahidi kutumia kijiji hiki cha Jf kuelimishana. Na kukemea wanaopotoka na kutaka kupotosha wengine, lakini wanaofikia hatua ya kuongelea uhai ( vifo ) juu ya wenzao tuwakemee kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT ni kwamba Lowasa kashindwa na Magufuli kashinda, basi. Lakini ni kwakuwa hatuna utamaduni wa kuheshimu thamani ya kura tunaangalia KUSHINDA na KUSHINDWA tu. Vinginevyo asilimia alizopata Lowasa isingefaa zitupwe kwenye dustbin hivihivi
 
Back
Top Bottom