Nape: CCM tunaitamani sana Moshi

Nape: CCM tunaitamani sana Moshi

idoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
3,051
Reaction score
1,423
Mbunge mteule wa Mtama (CCM) Bw. Nape Nnauye amesema CCM wanatamani sana jimbo la Moshi na kama wangekuwa wanachakachua matokeo wangekuwa wameshatwaa jimbo hilo. Maeneo mengine ambayo wanatamani zaidi ni Pemba na Karatu. Ameyasema hayo alipokuwa akijibu hoja za mbunge mteule wa Ubungo (CHADEMA) Bw. Saed Kubenea wakati wakihojiwa na Ivona Kamuntu, AzamTV. Kubenea amewatuhumu CCM na NEC kuhusu wizi wa kura. Pia Nape amesikitishwa na kile alichokiita 'kupigwa' kwa CCM kwenye mji mkubwa wa Dar es Salaam.
 
Bw. Saed Kubenea na Nape unfair comparison!!!
 
Mbunge mteule wa Mtama (CCM) Bw. Nape Nnauye amesema CCM wanatamani sana jimbo la Moshi na kama wangekuwa wanachakachua matokeo wangekuwa wameshatwaa jimbo hilo. Maeneo mengine ambayo wanatamani zaidi ni Pemba na Karatu. Ameyasema hayo alipokuwa akijibu hoja za mbunge mteule wa Ubungo (CHADEMA) Bw. Saed Kubenea wakati wakihojiwa na Ivona Kamuntu, AzamTV. Kubenea amewatuhumu CCM na NEC kuhusu wizi wa kura. Pia Nape amesikitishwa na kile alichokiita 'kupigwa' kwa CCM kwenye mji mkubwa wa Dar es Salaam.
chadema isitake kuudaganya umma. ukweli ni kwamba wananchi hatuiwataki kwakutuona sisi watanzania ni watu ambao hatujitambui
 
Wewe ni sawa na mende

Hebu muulize watu wa dodoma na dar nani wanajielewa? Then Tabora na Arusha nani wanajielewa? Halaf malizia na hii Shinyanga na Kilimanjaro nani wanajielewa?

Halaf muulize na hili alipata nafasi ya kupitia report ya ESRF (economic and social research foundation) kuhusu hali ya maisha katika mikoa ya Tanzania kiuchumi na kijamii!? Vigezo walivyotumia ni MIAKA YA KUISHI, HUDUMA ZA AFYA NA MAJI SALAMA, VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO, KIPATO CHA KILA KAYA KWA MWAKA NA HUDUMA ZA UMEME NA ELIMU. Kama anaijua mikoa iliyoongoza na iliyo kuwa mkiani akutajie kama hajui mpe homework,

Mwisho achukue majibu ya uchaguzi mkuu mwaka huu then ajijibu mwenyewe akina nani wanajielewa na akina nani hawajielewi. Tuwasaidie hawa ni ndugu zetu taratibu wataelewa hatuwezi kuwaua au kuwatenga mana ukizaa mtoto mjinga ni wa kwako tu Muombe Mungu ampe ufahamu aweze kuelewa mafundisho na kutambua jema na baya ni rai yangu kwa watanzania wote tuwape sana mafundisho hawa ndugu zetu
 
Mtasema yote ndo tushampa ushind maguful hata aje agombee lowasa mwenywe na kivuli tutachagua kivuli, lowasa atakufa bila kuwa rais wa taifa hili
 
chadema isitake kuudaganya umma. ukweli ni kwamba wananchi hatuiwataki kwakutuona sisi watanzania ni watu ambao hatujitambui

ELIMU
ELIMU
ELIMU
ELIMU
lowasa aliwaoneni ndio maana akataka msome bure. hata kuandika muweze.. kusoma pia. sio mkimbie shule sababu miaka 54 ya uhuru mnakaa chini! ili hata kama utapokea 7000 ukija humu uonekane unaweza kutetea hoja na hata kuandika vizuri
 
Mtasema yote ndo tushampa ushind maguful hata aje agombee lowasa mwenywe na kivuli tutachagua kivuli, lowasa atakufa bila kuwa rais wa taifa hili

Ni kama wewe utakavyokufa ukiwa kiraka !
 
Mbunge mteule wa Mtama (CCM) Bw. Nape Nnauye amesema CCM wanatamani sana jimbo la Moshi na kama wangekuwa wanachakachua matokeo wangekuwa wameshatwaa jimbo hilo. Maeneo mengine ambayo wanatamani zaidi ni Pemba na Karatu. Ameyasema hayo alipokuwa akijibu hoja za mbunge mteule wa Ubungo (CHADEMA) Bw. Saed Kubenea wakati wakihojiwa na Ivona Kamuntu, AzamTV. Kubenea amewatuhumu CCM na NEC kuhusu wizi wa kura. Pia Nape amesikitishwa na kile alichokiita 'kupigwa' kwa CCM kwenye mji mkubwa wa Dar es Salaam.

Wanatamani moshi? Moshi hakuna ngoma za unyago !
 
Mtasema yote ndo tushampa ushind maguful hata aje agombee lowasa mwenywe na kivuli tutachagua kivuli, lowasa atakufa bila kuwa rais wa taifa hili

Nawachukia sana wachangiaji wanaopenda kuongelea swala la KUFA hasa kwa mwanadamu mwenzako. Hii ni kujaribu kuingilia kazi na mamlaka ya MUNGU, ni makosa sana na dhambi kubwa.

Watu tujifunze kwa hawa tuliowaona na kuwasikia wakiongelea afya ya Lowasa na kutabiri kifo chake. Wengi washakufa na Lowasa bado yupo hai, akina mchungaji Mtikila wamefanya kosa chili leo wametangulia wao. Unapomsema mwanadamu mwenzako kuhusu afya yake na ukafikia hatua ya kubashiri kifo chake, kwa kawaida mtu huyo hujenga hali ya woga na pengine kuanza kumlilia MUNGU muumba wa wote. Kinachofata ni MUNGU kuonesha huruma kwake na hasira kwako uliebashiri hayo. Tufanye siasa au tuchangie mada na tuache mambo ya kutuletea laana.
 
Nawachukia sana wachangiaji wanaopenda kuongelea swala la KUFA hasa kwa mwanadamu mwenzako. Hii ni kujaribu kuingilia kazi na mamlaka ya MUNGU, ni makosa sana na dhambi kubwa.

Watu tujifunze kwa hawa tuliowaona na kuwasikia wakiongelea afya ya Lowasa na kutabiri kifo chake. Wengi washakufa na Lowasa bado yupo hai, akina mchungaji Mtikila wamefanya kosa chili leo wametangulia wao. Unapomsema mwanadamu mwenzako kuhusu afya yake na ukafikia hatua ya kubashiri kifo chake, kwa kawaida mtu huyo hujenga hali ya woga na pengine kuanza kumlilia MUNGU muumba wa wote. Kinachofata ni MUNGU kuonesha huruma kwake na hasira kwako uliebashiri hayo. Tufanye siasa au tuchangie mada na tuache mambo ya kutuletea laana.

Ubarikiwe sana kwa hekima yako ni wajinga pekee wasio elewa
 
Ubarikiwe sana kwa hekima yako ni wajinga pekee wasio elewa

Amina na kwako pia.
Tunapoona wenzetu wanapotoka na kuanza kuchangia yasiyofaa lazima tuwakemee na kuwaelimisha jinsi njema ya kuchangia mambo. Lazima tufanye hivyo kwa kutambua kuwa jukumu la waungwana ni kuelimisha na kuelekeza na kuwa charismatic
 
Hebu muulize watu wa dodoma na dar nani wanajielewa? Then Tabora na Arusha nani wanajielewa? Halaf malizia na hii Shinyanga na Kilimanjaro nani wanajielewa?

Halaf muulize na hili alipata nafasi ya kupitia report ya ESRF (economic and social research foundation) kuhusu hali ya maisha katika mikoa ya Tanzania kiuchumi na kijamii!? Vigezo walivyotumia ni MIAKA YA KUISHI, HUDUMA ZA AFYA NA MAJI SALAMA, VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO, KIPATO CHA KILA KAYA KWA MWAKA NA HUDUMA ZA UMEME NA ELIMU. Kama anaijua mikoa iliyoongoza na iliyo kuwa mkiani akutajie kama hajui mpe homework,

Mwisho achukue majibu ya uchaguzi mkuu mwaka huu then ajijibu mwenyewe akina nani wanajielewa na akina nani hawajielewi. Tuwasaidie hawa ni ndugu zetu taratibu wataelewa hatuwezi kuwaua au kuwatenga mana ukizaa mtoto mjinga ni wa kwako tu Muombe Mungu ampe ufahamu aweze kuelewa mafundisho na kutambua jema na baya ni rai yangu kwa watanzania wote tuwape sana mafundisho hawa ndugu zetu

Ahsante Mkuu nashukuru dua zilifika hata kabla hatujaombewa maana tulifuatilia kila kilichoongelewa ndipo tukachukua uamuzi:-
1. Kuna imani (dini) imetukanwa, imedharauliwa na kukashifiwa sana lakini sikumsikia hata kiongozi mmoja au hata shabiki wa EL akikemea hilo je wenye imani yao ulitegemea atampa nani kura yake?
2. Ukaskazini ulizidi mno kiasi cha kuwafanya wengine wote ni wajinga na hawajitambui wanaojitambua ni wao.
3. Uongo mwingine sana, hivi kweli ndani ya siku 100 nyumba za nyasi zote zitakuwa zimefutika TZ?
4. Hospitali za RUFAA kila wilaya?
Halafu hao wote wenye kujitambua wawape ukawa kura ahahahahaaa si kweli. Mmetukana sana humu mmetoa mafumbo tuliotambua tukayafuambua ndio tar.25 tunakafanya maamuzi mepesi, ukweli ndio huo
 
Mbunge mteule wa Mtama (CCM) Bw. Nape Nnauye amesema CCM wanatamani sana jimbo la Moshi na kama wangekuwa wanachakachua matokeo wangekuwa wameshatwaa jimbo hilo. Maeneo mengine ambayo wanatamani zaidi ni Pemba na Karatu. Ameyasema hayo alipokuwa akijibu hoja za mbunge mteule wa Ubungo (CHADEMA) Bw. Saed Kubenea wakati wakihojiwa na Ivona Kamuntu, AzamTV. Kubenea amewatuhumu CCM na NEC kuhusu wizi wa kura. Pia Nape amesikitishwa na kile alichokiita 'kupigwa' kwa CCM kwenye mji mkubwa wa Dar es Salaam.

Hakuna chochote ccm hawaibi kura ni ujuha tu wa wapinzani na kweli ni kwamba hizo hoja ni za kuretire imprest kwa lowasssa aliyewapa mapesa sasa njia pekee ya kumfurahisha mzee ni kumwambia mzee ulishinda ila wametuibia
 
Mwenyewe umechakachua Lindi vijijini(MTAMA) kwa ---- membe.....messi ndo mbunge wa mtama na sio wewe nape nnauye tena tafuta sehemu ya kukaa cuz mtama hawana mpango na wewe
 
Back
Top Bottom