RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Siku za karibuni nimekusikia ukihamasisha watanzania wasichague viongozi kwa kupewa vijisenti.
Rushwa kwa CCM ni sawa na cancer ya damu.
Hakuna kiongozi hata mmoja wa CCM anayeweza kujigamba kwamba hajatumia Takrima hadi kupata madaraka aliyonayo kama ni ya kuchagulliwa.
SWALI: Bila rushwa CCM si itakufa kabisa? itapata kura ngapi?
Rushwa kwa CCM ni sawa na cancer ya damu.
Hakuna kiongozi hata mmoja wa CCM anayeweza kujigamba kwamba hajatumia Takrima hadi kupata madaraka aliyonayo kama ni ya kuchagulliwa.
SWALI: Bila rushwa CCM si itakufa kabisa? itapata kura ngapi?