Nape amfunika Kinana

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
kama alivyofanya kwa mukama,kijana huyu ambaye unaweza kumuita 'media darling' anaonekana kushika kasi katika suala zima la usemaji na maamuzi ya ccm.tukumbuke kinana alitajwa sana kwa muda wa kama wiki 2 hivi baada ya uteuzi wake lakini sasa hasikiki tena kama ilivyomtokea mtangulizi wake.
Hii inamaanisha kinana ameshindwa kumdhibiti vuvuzela nape na hivyo kumuweka katika hatari ya kupigwa chini.
Tusubiri tuone!
 
Wapigane chini juu watajiju si hatuwataki
 
huyu bwana mdogo hajui mipaka ya kazi yake.leo hii anajidai ni mwajiri wa wafanyakazi wa umma!
 
Kinana aliingia kwa mbwembwe sana ila bahati yake mbaya muda huohuo meno yake ya tembo yakakamatwa Hongkong. Hapo ndio ikawa mwisho wa tambo zake maana majibu ya uhakika hana mbele ya jamii.
 
Ndivyo inavyotakiwa iwe.........mmoja dereva(Kinana) mwingine kondakta aka mpiga debe (Nape).........kazi ya kuita abiria sio ya dereva

hata mukama alikuwa dereva mzuri akiongozwa na huyu mpiga debe
 
Kashfa ya pembe zetu za ndovu imemuwehusha huyu jangiri wa kisomali
 

Kweli Bongo tambarale hivi kuongeaongea na kubwabwaja na waandishi wahabari ambao wengi ni waganga njaa ndio UTENDAJI? :confused2:
 


sasa wewe unataka kinana abwabwaje wakati yeye ni katibu wa chama
 

- Finally, CCM tupo kwenye the right track maana hizi mnacheza ngoma zetu, KIDUMU CCM!!

es!
 
Hao wote ni CHICHIDODOS ha ha ha ha ha ha ha ha! Msigwa hafai wakuu.
 
thread yako haina tija. Full pumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…