shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,428
- 3,510
Application hiyo nenda playstoreTagged ndo nin mzee
Application hiyo nenda playstoreTagged ndo nin mzee
Wa kupelekwa mbagala?Nshatoa shuhuda huko juu pamoja na screen za chats la nitaongeza nyengine shuhuda na hawa Toto's ngoja niwavute wachache wa live streams
Duh Mfawidh nadhani hata uyo shetani mwenyewe anakuogopa na anataka aje ajifunze vitu kwako maana si kwa taarifa hiziNyingine ni za kulipia na nyingine ni for serious relationship kama eharmony, happn na nyingine.
Ila kama unataka watoto wazuri wa kula nao good time na hata ndoa baadae anza na tinder, meet me, zoosk, tantan, match.com na nyingine. Unataka malaya waliokubuhu, mashoga nenda badoo, hitwe na eskimi, adam4adam, grindr na nyinginezo. Chagua mwenyewe.
Ukipata niwekee pm piaMkuu link tafdhli
Mkuu dah! Hiyo profile ni ya dume zima limeweka tu picha ya huyo binti, jana ndio nimegundua!
Boss kubwa fanya la msingi la kunitupia hizo links kwa MajaliwaMabaharia kuna group telegram kama maNNE watotos kama wote huduma zote wanatoa ni balaa tena wakuaminika hakuna utapeli kulee ngoja nikaitafute link nitupie hapa
Hapana.Hivi mkuu MLEVi Mmoja hi5 nayo inafosi uweke real selfie?
Ndo kilichonishinda hata mimi Badoo japo kuna mtu aliniambia yeye ameweza kuweka ya tofauti sijajua kama anazingua au la..Hapana.
Ila badoo ilinishinda inataka niweke picha yangu halisi nika uninstall.
Wengine sisi ni watu na heshima zetu kwenye jamii na maarufu.
Badoo ni App ya bure? Je hakuna kulipia?Ndo kilichonishinda hata mimi Badoo japo kuna mtu aliniambia yeye ameweza kuweka ya tofauti sijajua kama anazingua au la..
Ngoja nitaicheki hiyo hi5
Mkuu ni pm na mim hyo linkCheki pm yako utamfowadia na mwenzio hapa nikiweka watanilima ban
Nshakutumia pm
Navyofahamu ni ya bureBadoo ni App ya bure? Je hakuna kulipia?
Sio warahisi..wale wapo kazini.Mademu wa badoo warahisi sana yaani ukigusa tu imooo
Nilizopiga zinafanya kazi zao za maana ila naona wamekua desparate na ndoa au relationSio warahisi..wale wapo kazini.
Tofauti yake ni ndogo sana wale na wale wahaya wa Temeke Sudani.
Wa Temeke kakaa kwenye kichumba chake mlanho kaacha wazi anatega ila wa badoo kaweka picha yake katega nasubiri mteja!
Dadek hadi wakinga wanajiuza?Chukua simu ya demu wako au waifu ikague ukikuta application ya badoo kimbia mbali kimbia View attachment 1262712View attachment 1262713View attachment 1262714View attachment 1262715View attachment 1262716View attachment 1262717View attachment 1262718View attachment 1262719
Nilizopiga zinafanya kazi zao za maana ila naona wamekua desparate na ndoa au relationSio warahisi..wale wapo kazini.
Tofauti yake ni ndogo sana wale na wale wahaya wa Temeke Sudani.
Wa Temeke kakaa kwenye kichumba chake mlanho kaacha wazi anatega ila wa badoo kaweka picha yake katega nasubiri mteja!