Napataje leseni ya kuwa mkopeshaji rasmi?

Napataje leseni ya kuwa mkopeshaji rasmi?

peterbundalla

Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
9
Reaction score
13
Naomba anaye fahamu kuhusu utaratibu wa upatikanaji wa leseni ya KUKOPESHA hela ya riba aniambie nina mtaji wa mil 10
 
Naomba anaye fahamu kuhusu utaratibu wa upatikanaji wa leseni ya KUKOPESHA hela ya riba aniambie nina mtaji wa mil 10
Mtaji hautoshi. Leseni hutolewa na BOT na lazima uwe na ofisi, ulipe mapato na pia uwe na mtaji above 40m utakaoonekana inazunguka kwenye bank statment na mwisho ujuwe luwaimprest maafisa 😂😂
 
Tusikukatshe tamaaa n biashsra nzur kwasababu ina solv matatzo ya watu weng tu sio kama duka linavyo udumia watu wa eneo lako changamoto n pale mteja anapo dflot na ku acumrate riba kwenye mkopo huta weza mbana mana takukuru saiv ndio wanalala na hiz mcrofnance mtu akienda kusema tu nlkopeshwa lak 5 saiv nadaiwa ml 3 ujue wako ofcn kwako na waandsh wa habar na kukufedheesha juu
 
Naomba anaye fahamu kuhusu utaratibu wa upatikanaji wa leseni ya KUKOPESHA hela ya riba aniambie nina mtaji wa mil 10
Kuna Uzi nimewah ona humu unazungumzia suala hili.. mtaji minimum walisema 20m tzs, leseni kutoka BOT, .. experience ya bro flan mwaka 2015 Alianza na 2m ila kwa Siri i.e bila leseni,,, then 2019 nilipata taarifa kua alikua na mtaji wa 20m+ so try utakavyoweza kupitia leseni au kimyakimya ukiandaa namna ya kuwabana wateja wako kimyakimya pia. Kila la heri
 
Back
Top Bottom