Napataje kimbulisho cha taifa kwa haraka

Napataje kimbulisho cha taifa kwa haraka

Kim McDamon

Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
46
Reaction score
9
Natanguliza shukrani wana jopo
Ili nipate kitambulisho chataifa naanza na process Gani na wapi
Masaada plz
 
Fuata hatua zifuatazo.

1 • Chukua fomu toka ofisi ya Nida katika mji/wilaya unayoishi.

2 • Jaza fomu yako kwa kalamu nyeusi.

3 • Peleka formu kwa Mwenyekiti wa mtaa upate stamp na signature yake. Hapa pia atakupatia barua ya uthibitisho ikiwa imegongwa muhuri.

4 • Toa copy ya kitambulisho cha kura.

5 • Sasa rudi tena Nida halafu wakabidhi.

Baada ya hapa sasa utapata stamp ya Ofisi ya Uhamiaji na utakuwa tayari kupigwa picha ili taarifa zako zianze kufanyiwa kazi kidigitali.

Kuhusu muda wa kukamilika I don't know.

Inaweza ikawa mwezi au miezi.

Kumbuka wapo ambao walikamilisha kujaza taarifa zao, wakapigwa picha lakini bado hawajapata.

Ni slow process kuwa tu mvumilivu.
 
MI NILIPATA NDANI YA MWEZI MMOJA NA WIKI MBILI TU YAANI KUJAZA BARUA YAO KUIRUDISHA KUPIGWA PICHA MPK KUKABIDHIWA MKONONI ID YANGU
Fuata hatua zifuatazo.

1 • Chukua fomu toka ofisi ya Nida katika mji/wilaya unayoishi.

2 • Jaza fomu yako kwa kalamu nyeusi.

3 • Peleka formu kwa Mwenyekiti wa mtaa upate stamp na signature yake. Hapa pia atakupatia barua ya uthibitisho ikiwa imegongwa muhuri.

4 • Toa copy ya kitambulisho cha kura.

5 • Sasa rudi tena Nida halafu wakabidhi.

Baada ya hapa sasa utapata stamp ya Ofisi ya Uhamiaji na utakuwa tayari kupigwa picha ili taarifa zako zianze kufanyiwa kazi kidigitali.

Kuhusu muda wa kukamilika I don't know.

Inaweza ikawa mwezi au miezi.

Kumbuka wapo ambao walikamilisha kujaza taarifa zao, wakapigwa picha lakini bado hawajapata.

Ni slow process kuwa tu mvumilivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uko dsm Nenda Brella jifanye unasajiri kampuni na huna kitambulisho , watakupa utaratibu na utapata id yako fasta


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii haiwezi kunipa shida ? Km wakijua sina haja yakusajili kampuni?
 
Fuata hatua zifuatazo.

1 • Chukua fomu toka ofisi ya Nida katika mji/wilaya unayoishi.

2 • Jaza fomu yako kwa kalamu nyeusi.

3 • Peleka formu kwa Mwenyekiti wa mtaa upate stamp na signature yake. Hapa pia atakupatia barua ya uthibitisho ikiwa imegongwa muhuri.

4 • Toa copy ya kitambulisho cha kura.

5 • Sasa rudi tena Nida halafu wakabidhi.

Baada ya hapa sasa utapata stamp ya Ofisi ya Uhamiaji na utakuwa tayari kupigwa picha ili taarifa zako zianze kufanyiwa kazi kidigitali.

Kuhusu muda wa kukamilika I don't know.

Inaweza ikawa mwezi au miezi.

Kumbuka wapo ambao walikamilisha kujaza taarifa zao, wakapigwa picha lakini bado hawajapata.

Ni slow process kuwa tu mvumilivu.
asante mkuu Ila nimesikia kwa mtu mmoja HV punde akisema Unaanza kwenda serikali za mtaa kwanza then unaenda NIDA
 
Wengine tunamwaka na miezi kadhaa tangu tujisajili lkn vitambulisho mpaka Leo havijaletwa.
 
Wengine tunamwaka na miezi kadhaa tangu tujisajili lkn vitambulisho mpaka Leo havijaletwa.
 
Hii haiwezi kunipa shida ? Km wakijua sina haja yakusajili kampuni?

Watajuaje kama huna haja? Kufungua kampuni siyo lazima ukishapata kiambulisho unaendelea na mambo mengine .


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom