digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,574
- 2,292
Poleni kwa mzigo wa tozo, kodi na vat
Point yangu ni moja, since then nilikua napenda sana kufanya kazi kwenye migodi (kazi ya ndoto yangu) lakini sijawahi kupata connection za huko.
Kwenye maisha hujui utatokea wapi, anyone mwenye connection ntashukuru sana, japo najua mkono mtupu haulambwi.
Point yangu ni moja, since then nilikua napenda sana kufanya kazi kwenye migodi (kazi ya ndoto yangu) lakini sijawahi kupata connection za huko.
Kwenye maisha hujui utatokea wapi, anyone mwenye connection ntashukuru sana, japo najua mkono mtupu haulambwi.