Napata wapi vifuu kwa wingi?

Napata wapi vifuu kwa wingi?

Kisesa Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
434
Reaction score
344
Wanandugu kama yupo mtu anayejua sehemu (Dar es Salaam) nayoweza kupata vifuu vya nazi kwa wingi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ukifika chuo cha NIT km unaenda mahakama ya ndizi kuna njia unaingia kulia mbele kuna Msikiti njia ukienda mbele unafika MRINA HALL mwanzo hapa kuna kiwanda kdg cha kukamua mafuta ya Nazi hata ukiuliza watakuonesha hapo naonaga vifuu vingi sana
 
Back
Top Bottom