Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,760
- 3,858
Nenda shinyanga soko la nguzo nane,miaka ya nyuma walikuwa wanauzwa kwa wingi sana
Unaweza kubahatisha, jaribu kutembelea masoko ya kukusawa hapa mwanza hamna soko wanawauza hawa kuku?
Kuchi nenda deluxe...Natafuta kuku aina ya Kuchi kwa mwanza au mikoa ya karibu kama simiyu au geita na shinyanga
View attachment 2269899
View attachment 2269900
Mikoa maarufu ; Niliwaona mara ya mwisho tabora
Lakini tafiti zinaonesha hii mikoa wanapatkana
singida,Tabora,shinyanga, na dodoma
sifa ni kuku wakubwa sana!!!.Warefu na wenye nyama nyingi
Jogoo anaweza fika had kilo 3.5kg na tetea kilo 2kg
Kama una vifaranga au kuku wa aina hii andika namba yako tukufikie
Sokoni hapatiUnaweza kubahatisha, jaribu kutembelea masoko ya kuku
Kuku wa laki moja umpeleke sokon
Sokoni hapati
Kuchi nenda deluxe...
Tabora-igunga wapo pesa ipo mzee?? Si unajua bei zake