Nilitoa damu mara moja tu mwaka 2016 kiongozi.....Maji najitahidi kunywa kwa wingi pia
Kunywa maji mengi.... Pata muda wa kupumzika.Habari zenu wakubwa,
Naombeni msaada juu ya hili..Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya kichwa kila mara. Nimejitahidi kutumia dawa za kupunguza maumivu hazisaidii. kwenye vipimo naambiwa sina ugonjwa.
Naombeni msaada wenu ili niweze kupona tatizo hili wakubwa!
Kapime machoHabari zenu wakubwa,
Naombeni msaada juu ya hili..Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya kichwa kila mara. Nimejitahidi kutumia dawa za kupunguza maumivu hazisaidii. kwenye vipimo naambiwa sina ugonjwa.
Naombeni msaada wenu ili niweze kupona tatizo hili wakubwa!
una celebral pus... hahahahahahaahHabari zenu wakubwa,
Naombeni msaada juu ya hili..Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya kichwa kila mara. Nimejitahidi kutumia dawa za kupunguza maumivu hazisaidii. kwenye vipimo naambiwa sina ugonjwa.
Naombeni msaada wenu ili niweze kupona tatizo hili wakubwa!