kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,027
- 3,465
habarini ndugu zangu
sina tatzo la bawasiri wala sina tatzo la kukosa choo ,ni hali imenitokea hivi karibuni
ipo hivi
nilisafiri kwenda burundi siku 3 kabla ya Christmas.
Ni mara yangu ya kwanza kwenda huko,chakula cha kule kiufupi kilinishinda ikawa ni mwendo wa nyamachoma tu na biscuits,hata kunywa maji ilikuw nadra sbb tulipokuw ilikuw porini sana.
sasa toka Christmas hadi leo nmerud Tanzania sijajisaidia yapata siku 4
haja huwa naisikia ila nikienda uani nikichuchumaa wakat nasukuma nasikia kama jiwe na maumivu makali sana,
msaada jamani kwa wenye uzoefu
sina tatzo la bawasiri wala sina tatzo la kukosa choo ,ni hali imenitokea hivi karibuni
ipo hivi
nilisafiri kwenda burundi siku 3 kabla ya Christmas.
Ni mara yangu ya kwanza kwenda huko,chakula cha kule kiufupi kilinishinda ikawa ni mwendo wa nyamachoma tu na biscuits,hata kunywa maji ilikuw nadra sbb tulipokuw ilikuw porini sana.
sasa toka Christmas hadi leo nmerud Tanzania sijajisaidia yapata siku 4
haja huwa naisikia ila nikienda uani nikichuchumaa wakat nasukuma nasikia kama jiwe na maumivu makali sana,
msaada jamani kwa wenye uzoefu