kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 717
Habari wajameni kutokana na hali ya mazingira ninahama kutoka kimara kibo kwenda kiluvya ..
Sasa nyumba ninayoihama ni nzuri kukaliwa na mpangaji yeyote kutokana na kuwa karibu na miundombinu yote na usalama wa kutosha ina vyumba viwili vya kulala kimoja master ina public toilet, bafu na store pia jiko na siting room kubwa , maji ya uhakika saa 24 bili binafsi na luku ni vya kujitegemea , ina fensi na eneo la kupaki gari ..iko karibu na barabara kuu ya morogoro road pamoja na kituo cha mwe kasi dakika tatu kwa miguu...
Mi ninahama tu kwa kuwa familia inaogezeka haitonitosha tena..ni tsh 300000 kwa mwezi kwa miezi 6 au kumi na mbili ukija wakati huu uje na kodi ya miezi mitatu ikisha unaendelea na mwenye nyumba nipigie.
0746778046 kama uko serious
Sasa nyumba ninayoihama ni nzuri kukaliwa na mpangaji yeyote kutokana na kuwa karibu na miundombinu yote na usalama wa kutosha ina vyumba viwili vya kulala kimoja master ina public toilet, bafu na store pia jiko na siting room kubwa , maji ya uhakika saa 24 bili binafsi na luku ni vya kujitegemea , ina fensi na eneo la kupaki gari ..iko karibu na barabara kuu ya morogoro road pamoja na kituo cha mwe kasi dakika tatu kwa miguu...
Mi ninahama tu kwa kuwa familia inaogezeka haitonitosha tena..ni tsh 300000 kwa mwezi kwa miezi 6 au kumi na mbili ukija wakati huu uje na kodi ya miezi mitatu ikisha unaendelea na mwenye nyumba nipigie.
0746778046 kama uko serious