Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 803
Habari zenu wana JF,
Yapata mwaka mmoja tangu kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu.Tulipendana sana na tuliishi maisha ya furaha mda wote hatukuwai kukwaruzana na hii ni kutokana na kila mmoja wetu kumsoma mwenzie (hapendi nini/anapenda nini).
Mwishoni mwa mwezi December 2014, Nilisafiri kibiashara mbali kidogo.Tukawa tunawasiliana vizuri kadiri siku zilivyozidi kwenda mawasiliano nayo yakawa yanadorora hii nikutokana na mimi mwenyewe kuwa busy sana na kazi hivyo kutokuwa online.
Ninachokikumbuka kuna siku nilimpigia simu akapokea mwanaume,!!kwa kweli alinitukana mno maneno machafu ya kutosha mimi nilikosa lakumwambia huku sim ikiwa on nilisikia sauti ya mpenzi wangu na huyo mwanaume wakilumbana.Nilikata simu baada ya dakika kama mbili alinipigia kuniomba radhi kwa yaliyotokea huku akilia kwa unafiki.
Nilichomwabia, tusijuane na kumuamuru abebe anachokita hapo nyumbani aondoke nacho,s tori ni ndefu sana,.Tatizo ananitokea ndotoni Mara kwa Mara nikifanya nae mapenzi. Na huwa ananitumia text nyingi sana lakini simjibu.
Yapata mwaka mmoja tangu kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu.Tulipendana sana na tuliishi maisha ya furaha mda wote hatukuwai kukwaruzana na hii ni kutokana na kila mmoja wetu kumsoma mwenzie (hapendi nini/anapenda nini).
Mwishoni mwa mwezi December 2014, Nilisafiri kibiashara mbali kidogo.Tukawa tunawasiliana vizuri kadiri siku zilivyozidi kwenda mawasiliano nayo yakawa yanadorora hii nikutokana na mimi mwenyewe kuwa busy sana na kazi hivyo kutokuwa online.
Ninachokikumbuka kuna siku nilimpigia simu akapokea mwanaume,!!kwa kweli alinitukana mno maneno machafu ya kutosha mimi nilikosa lakumwambia huku sim ikiwa on nilisikia sauti ya mpenzi wangu na huyo mwanaume wakilumbana.Nilikata simu baada ya dakika kama mbili alinipigia kuniomba radhi kwa yaliyotokea huku akilia kwa unafiki.
Nilichomwabia, tusijuane na kumuamuru abebe anachokita hapo nyumbani aondoke nacho,s tori ni ndefu sana,.Tatizo ananitokea ndotoni Mara kwa Mara nikifanya nae mapenzi. Na huwa ananitumia text nyingi sana lakini simjibu.