nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,577
- 2,150
Hapana, hawajaanza kutushugulikia, ni hofu tu, bado tuna muda wa kurekebisha makosa, tulishashindwa kupambana nao toka enzi za Mwalimu, ni muda wa kuungana nao kama enzi za Mkapa.
Umeonesha ubumbumbu wa hali ya juu kuelewa mada, tuliza akili uelewe kwanza uache kujibu vitu kwa hisia.Mmm,kwa hiyo tuwaache waendelee kutuibia?Akili zingine mufilisi kabisa.Ninyi ndio mnaoabudu wazungu,ovyo kabisa.Si mhame muwafuate kuko kwao.Hapa hawaoni ndani,ni lazima watuheshimu,after all their survival depends on our resources.Kinachoendelea sasa ni matokeo ya crackdown inayoendelea,it has no relationship to your masters(Wazungu).Things will cool down and our economy will start growing normally again.
Wewe wakati unaibiwa waga unaangalia wapi?Wangekua na haruma, walivyoiba navyo ni vingi.
Uwa naangalia mbeleWewe wakati unaibiwa waga unaangalia wapi?
beberu manake dume la mbuziVenezuela na uchumi mkubwa wameshughulikiwa sahivi nchi imefilisika.
Sasa Tanzania yenye uchumi mdogo kuliko wa Zuckerberg itafanya nini mbele ya hao mabeberu?
Ukisoma kitabu cha Confension of an economic hitman , jasusi huyo wa kiuchumi alitoa njia wanazotumia kuziweka nchi katika himaya yao.
1. Kupitia Mikopo mikubwa isiyo na maslahi kwa nchi husika, baadae hudai madeni yao wakati nchi zikiwa hoi bin taaban
2. Kuhonga, kununua viongozi
3. Wakishindwa wanaweza kutumia njia za kijeshi kama kupitia waasi, au wenyewe wanaweza kuingia front kama walivyofanya Iraq na Libya and then kusimamisha vibaraka wao ndo watawale
Wana vyombo vingi vya kufanya hayo
1. Wanamiliki World Bank na IMF
2. Wana Media kubwa za Propaganda, CNN, BBC, Newyork times, Deutchewelle, Voice Of America
3. Wana Miliki masoko ya kila bidhaaa muhimu duniani
4. Wanamiliki Baraza la Usalama kwa more than 80%
5. Dola, Pound, Euro ni vya kwao
6.Wanamiliki Majeshi yenye nguvu
Hawa Jamaa ni wa kucheza nao kwa akili mno, Hii mijamaa iliigawa sudan, Sasa Wanaigawa Iraq, haichelewi kukuundia zengwe hawa!
Anawashwa'mimi nikiona hivi najuwa wewe ni mmoja tu wa wale 12,000 wa vyeti feki'
aliyekuleta hapa duniani ni mzungu au mweusi,masikini mkubwa wa akili pumbavu.Wazungu ukiwauzi /ukiwachokonoa wana njia mbali mbali za kukushughulikia, wanaweza kukushikisha adabu waziwazi (rejea ya Iraq, Libya) pia wanaweza kukutesa kimya kimya.
Kwa viashiria vinavyojionesha kwa sasa apa tz, ni wazi mzungu kachagua njia ya kutushughulikia ya kimyakimya na ataendelea kututesa tu.
Tuache ubishi dunia bado inatawaliwa na mzungu.
Aliyenileta duniani ni mzungu+mweusi=chotara.aliyekuleta hapa duniani ni mzungu au mweusi,masikini mkubwa wa akili pumbavu.
Upo sawaSio kwamba wazungu wanatushughulikia ila ni sisi wenyewe. Yeye kila kitu kimepangwa kwa mpango maalumu sisi ni blablaa, akikuambia njoo asubuhi saa mbili unakuja saa nne anakuacha solemba, hapo si umejimaliza mwenyewe? Tukijirekebisha tutaenda nao sawa
Sijawai kuwa uko unapofikiria
Nani
1usd =2,522 tshKifupi sijakuelewa kabisa sijui ulitaka kumaanisha nini!?