Naona tetemeko limecharuka kupita

Naona tetemeko limecharuka kupita

Hii awamu tokea iingie madarakani Matetemeko hayaishi.
 
kijiolojia hiyo ni hali ya kawaida kwa dodomian supergroup kupitiwa na tetemeko maana ipo kwenye weak zone ya EAST AFRICA RIFT SYSTEM. Wakuu mambo ya matetemeko kwenye dodoman supergroup na nyanzian supergroup ni kawaida.
 
Litaendelea kuwepo hadi kipande kijitenge yaani Tanzania Kenya Somalia na kipande cha Ethiopia kitajitenga na Afrika hiyo Dodoma mnayoigangania itakuwa bahari ya chumvi japo sio sasa.
 
kijiolojia hiyo ni hali ya kawaida kwa dodomian supergroup kupitiwa na tetemeko maana ipo kwenye weak zone ya EAST AFRICA RIFT SYSTEM. Wakuu mambo ya matetemeko kwenye dodoman supergroup na nyanzian supergroup ni kawaida.
We sema ni mambo ya kawaida watu wa bukoba walianza kuona foreshorks vitetemeko vidogo kabla ya tetemeko kuu mwaka 2005 na miaka 2012 ndo zilianza kuongezeka ni zilikuwa ni ndogo Tu kiasi kuwa za kawaida Ila kilichowakuta 2016 nadhani unakijua .ni wakati sasa watu wa Dom kuchukua tahadhar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kijiolojia hiyo ni hali ya kawaida kwa dodomian supergroup kupitiwa na tetemeko maana ipo kwenye weak zone ya EAST AFRICA RIFT SYSTEM. Wakuu mambo ya matetemeko kwenye dodoman supergroup na nyanzian supergroup ni kawaida.
well said
 
Back
Top Bottom