Kulikuwa na haja gani ya kura za wananchi kama mnamchagua mnayemtaka????? Basi viongozi wenu wachague watu au wagombea wanaowataka kuliko kuwapotezea muda wananchi. Demokrasia ipo wapi kama mnawapanga watu wenu? Acha upumbavu wewe.WATANZANIA VIGEU GEU SANA
nI SISI TUMEKUWA TUKILALAMIKA
VIONGOZI WAMEKUWA VINGANGANIZI
HAWATAKI KUPUMZIKA
TOKA JANA NAONA MITANDAON KILA MTU.UMMY OOR UMMY. OOH WANANCHI WAMERUDISHA KADI WANAMTAKA UMMY
NYIE WATU AMEKUWA MSAAFU AMA BIBLIA HABADILISHWI
PLS EMBU MKUBALIANE NA MAAMUZI SAHIHII YA CHAMA CHETU TUKUFU
KAMA ALIWADANGANYA ANARUDI
NA MNAMTAKA AKAHAMIE ACT AGOMBANIE HUKO
TUMECHOKA NA MA MESEJI YENU YA FB INSTAGR
ENZI ZA MAGU ROBO YA WABUNGE WAMETOKEA NAFASI YA 2.3.4Kulikuwa na haja gani ya kura za wananchi kama mnamchagua mnayemtaka????? Basi viongozi wenu wachague watu au wagombea wanaowataka kuliko kuwapotezea muda wananchi. Demokrasia ipo wapi kama mnawapanga watu wenu? Acha upumbavu wewe.
Na ndo ujinga ulipoanzia..!!ENZI ZA MAGU ROBO YA WABUNGE WAMETOKEA NAFASI YA 2.3.4
NN KIPYA KWA UMMY AMEKUWA MSAAFU ASIBADILISHWE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Ummy alitoa toto afya kadi leo na yeye katolewaWATANZANIA VIGEU GEU SANA
nI SISI TUMEKUWA TUKILALAMIKA
VIONGOZI WAMEKUWA VINGANGANIZI
HAWATAKI KUPUMZIKA
TOKA JANA NAONA MITANDAON KILA MTU.UMMY OOR UMMY. OOH WANANCHI WAMERUDISHA KADI WANAMTAKA UMMY
NYIE WATU AMEKUWA MSAAFU AMA BIBLIA HABADILISHWI
PLS EMBU MKUBALIANE NA MAAMUZI SAHIHII YA CHAMA CHETU TUKUFU
KAMA ALIWADANGANYA ANARUDI
NA MNAMTAKA AKAHAMIE ACT AGOMBANIE HUKO
TUMECHOKA NA MA MESEJI YENU YA FB INSTAGR
Ummy ni mwoga,huwezi kumtukana rais wako kisirisiri,kama anhekuwa shujaa angeomba kukutana nae na akamweleza samia yeye mwenyewe hayo aliyoyasema kwa siri.Sasa hao aliokuwa qnawaambia kumbe walimtepu na wakamfikishia samiaWATANZANIA VIGEU GEU SANA
nI SISI TUMEKUWA TUKILALAMIKA
VIONGOZI WAMEKUWA VINGANGANIZI
HAWATAKI KUPUMZIKA
TOKA JANA NAONA MITANDAON KILA MTU.UMMY OOR UMMY. OOH WANANCHI WAMERUDISHA KADI WANAMTAKA UMMY
NYIE WATU AMEKUWA MSAAFU AMA BIBLIA HABADILISHWI
PLS EMBU MKUBALIANE NA MAAMUZI SAHIHII YA CHAMA CHETU TUKUFU
KAMA ALIWADANGANYA ANARUDI
NA MNAMTAKA AKAHAMIE ACT AGOMBANIE HUKO
TUMECHOKA NA MA MESEJI YENU YA FB INSTAGR
kipindi kile cha ama tuchague demokrasia au tuendelee na chama kimoja, angalau 80% ya wananchi walitaka tuendelee na Chama kimoja... Nchi ikawapa wale wa asilimia 20 tu... vipi hiyo haikuwa demokrasia???? wlaiotemwa wakubali wasonge mbele na maisha yaendelee..sio kitu kigeni, JPM alifyeka wabunge kibao 2020, akafyeka hadi upinzani wote - akaishia kununua Covid 19... hawa waloshinda na kufyekwa kama 10 tu nayo ni story kweli? mbona mama kawa mstaarabu sana? ningekuwa mimi ningefyeka hata 100 hiviKulikuwa na haja gani ya kura za wananchi kama mnamchagua mnayemtaka????? Basi viongozi wenu wachague watu au wagombea wanaowataka kuliko kuwapotezea muda wananchi. Demokrasia ipo wapi kama mnawapanga watu wenu? Acha upumbavu wewe.
Angalia ni asilimia ngapi ya watu ambao walichaguliwa na wananchi na hawakurudishwa? ni ndogo mno hivyo zipo sababuKulikuwa na haja gani ya kura za wananchi kama mnamchagua mnayemtaka????? Basi viongozi wenu wachague watu au wagombea wanaowataka kuliko kuwapotezea muda wananchi. Demokrasia ipo wapi kama mnawapanga watu wenu? Acha upumbavu wewe.
Naikumbukaa hii mpwa na ndio inateend fbUmmy ni mwoga,huwezi kumtukana rais wako kisirisiri,kama anhekuwa shujaa angeomba kukutana nae na akamweleza samia yeye mwenyewe hayo aliyoyasema kwa siri.Sasa hao aliokuwa qnawaambia kumbe walimtepu na wakamfikishia samia
Hili ni funzo kubwa sana kwa binadamu,usimkosoe mtu pembeni,nenda kwake yeye mwenyewe kamwambie usoni.Ummy anajua sana alichofanya ndio maana kakaa kimyaaa.Naikumbukaa hii mpwa na ndio inateend fb
Amevuna alichopanda hahaha
Akatumbue pesa za afya alizopiga
Abood na Shabiby wamelalamikiwa lini?WATANZANIA VIGEU GEU SANA
nI SISI TUMEKUWA TUKILALAMIKA
VIONGOZI WAMEKUWA VINGANGANIZI
HAWATAKI KUPUMZIKA
TOKA JANA NAONA MITANDAON KILA MTU.UMMY OOR UMMY. OOH WANANCHI WAMERUDISHA KADI WANAMTAKA UMMY
NYIE WATU AMEKUWA MSAAFU AMA BIBLIA HABADILISHWI
PLS EMBU MKUBALIANE NA MAAMUZI SAHIHII YA CHAMA CHETU TUKUFU
KAMA ALIWADANGANYA ANARUDI
NA MNAMTAKA AKAHAMIE ACT AGOMBANIE HUKO
TUMECHOKA NA MA MESEJI YENU YA FB INSTAGR
"Chama chetu" ? Una maanisha niniKulikuwa na haja gani ya kura za wananchi kama mnamchagua mnayemtaka????? Basi viongozi wenu wachague watu au wagombea wanaowataka kuliko kuwapotezea muda wananchi. Demokrasia ipo wapi kama mnawapanga watu wenu? Acha upumbavu wewe.