Habari wana JF,
Kwanza napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunipatia kazi mwaka huu wa 2014, pili natoa shukrani zangu za dhati kwa jukwaa hili kwa kunipatia updates zote kwa miaka miwili niliyokua kwenye msoto mkali wa kutafuta kazi.
Amini usiamini mwenyezi mungu ndio muweza wa yote, ndio mjomba wa wale wasio na wajomba wa kuwapachika maofisini, ndio mwenye cheo kupita vyeo vyote vya hao wanaowapachika watoto wao maofisini wakiwaacha watoto wa wakulima wakiendelea kuangaika.wewe mtoto wa mkulima kama mimi, ukimtegemea mungu na kuzidisha jitihada basi umepona.
Turudi katika mada
nimeangaika kwa muda wa miaka miwili nikifanya interview hapa na pale hatimaye mwaka huu mungu akafungua milango ya ajira kwangu. Ilikuwa ni mwezi wa saba mwaka huu ndipo nilipoitwa kazini halmashauri fulani hapa nchini, mpaka kufikia sasa nina wiki tatu kazini.
Tatizo linakuja kuwa nilikuwa nimeshafanya interview kwenye taasisi ya serikari mojawapo hapa nchini jana nikapigiwa simu niripoti kazini, nikifikiria huku nachukua TGS D ambayo take home ni chini ya laki 4, na huko nilikoitwa uhakika wa take home ya laki 7 na nusu ninao.
SWALI LINAKUJA : Naagaje huku niliko? na je inaruhusiwa kutoka serikarini kwenda serikarini kwa nafasi ya entry level kama yangu?
Nisaidieni nifanye maamuzi sahihi jamani, hasa wenye experience na suala kama hili
Kwanza napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunipatia kazi mwaka huu wa 2014, pili natoa shukrani zangu za dhati kwa jukwaa hili kwa kunipatia updates zote kwa miaka miwili niliyokua kwenye msoto mkali wa kutafuta kazi.
Amini usiamini mwenyezi mungu ndio muweza wa yote, ndio mjomba wa wale wasio na wajomba wa kuwapachika maofisini, ndio mwenye cheo kupita vyeo vyote vya hao wanaowapachika watoto wao maofisini wakiwaacha watoto wa wakulima wakiendelea kuangaika.wewe mtoto wa mkulima kama mimi, ukimtegemea mungu na kuzidisha jitihada basi umepona.
Turudi katika mada
nimeangaika kwa muda wa miaka miwili nikifanya interview hapa na pale hatimaye mwaka huu mungu akafungua milango ya ajira kwangu. Ilikuwa ni mwezi wa saba mwaka huu ndipo nilipoitwa kazini halmashauri fulani hapa nchini, mpaka kufikia sasa nina wiki tatu kazini.
Tatizo linakuja kuwa nilikuwa nimeshafanya interview kwenye taasisi ya serikari mojawapo hapa nchini jana nikapigiwa simu niripoti kazini, nikifikiria huku nachukua TGS D ambayo take home ni chini ya laki 4, na huko nilikoitwa uhakika wa take home ya laki 7 na nusu ninao.
SWALI LINAKUJA : Naagaje huku niliko? na je inaruhusiwa kutoka serikarini kwenda serikarini kwa nafasi ya entry level kama yangu?
Nisaidieni nifanye maamuzi sahihi jamani, hasa wenye experience na suala kama hili