naombeni ushauri

naombeni ushauri

JOPA

Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
8
Reaction score
1
mimi na mume wangu tunagombana sana sababu ya pesa na tuna mtoto kiasi kwamba tunataka kuachana naombeni ushauri jamani
 
Si muache kugombana, Uko wapi upendo wenu wa mwanzo? Pesa ndio ilikuwa sababu ya kuwa pamoja?
 
mimi na mume wangu tunagombana sana sababu ya pesa na tuna mtoto kiasi kwamba tunataka kuachana naombeni ushauri jamani

Ukitaka usaidiwe funguka zaidi tujue aina ya ugomvi i.e tabia zinazosababisha ugomvi.
 
hizo pesa anazo nani wewe au yeye?,na hizo pesa zinatumika vibaya ,au huyo mwanaume haachi pesa nyumbani,eleza vizuri husaidiwe
 
hizo pesa zinawafanyajje??
je kuna mfujaji kati yenu?
je kwasababu ya pesa kiburi imeongezeka
ama hamna pesa hivyo kuona maisha ni ya tabu?
 
Haya maelezo hayajakamilika siwezi kushauri chochote hapa
 
Pesa ilimkana Yesu sembuse nyie. Tenganeni tu

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
huyu muomba ushauri kaishia wapi? au hiyo pesa ishampoteza?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom