Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

AmmyR

Member
Joined
May 18, 2014
Posts
7
Reaction score
0
Nina mpenzi niliyekuwa namwamini but siku nilikuta meseji za mapenzi kwenye simu yake nilipomuuliza aliniambia walikuwa ex wake nikaachilia mbali. But nikamwambia azifute baada ya siku kadhaa nikachukua simu yake nikakuta zipo na nyingne kwenye simu ndogo.

Nikamuuliza ila yeye anaona kawaida siku nikaamua kukaa na simu yake wakapiga wadada tofauti nikaongea nao kistarabu na wengne wakawa wananitukana akaniomba msamaha.

Kibaya ni kwamba nilimjibu nimemsamehe but kila nikikaa nayakumbuka yote sina amani mpaka nikaamua kumwambia ukweli na nikamwambia mimi nimechoka siwezi kuwa nae tena nateseka ndani kwa ndani so aendelee na maisha yake.

But stil bado nampenda naombeni ushauri
 
Ukiachana na hizo sms je kuna namna nyingine yoyote inayokufanya uhisi unaibiwa? Je unaamini yeye anakupenda?
 
Kweli mmeona hamna jinsi nyingine ya kulimaliza hilo zaidi ya kutengana?
Kwa mahusiano ya sasa,utaacha kila siku...........
 
Kama umeamua kumuacha, basi muache
Ufundishe moyo wako kumsahau
 
Kuna mambo ambayo binadamu hafai kuyafanya kamwe. Moja ka ti ya mambo hayo ni kuangalia mazungumzo ya watu. Mambo uliyoyaona yataendelea kukuuma moyoni hata mtakaporudiana na mpenzi wako. Umefaulu kuharibu uhusiano wako na mpenzi wako na sioni jinsi ambayo utaweza kusahau machungu hayo.


Posted by
Sex Toys Kenya, Uganda, Tanzania
http://KenyaSecrets.co.ke
 
ImageUploadedByJamiiForums1400521342.511201.jpg
 
ningekuwa na pombe ningekunywa ata pesa nipunguze mawazo. polee sana ila mdogo wangu unaomba ushauri wakati umeshamake decision.
 
Preta nadhani umetuacha wengi,hebu idadavue hiyo lugha kwa kiswahili.

Mi hata sijui.......nimependa hiyo picha nikaona nimliwaze nayo........kwani ni picha mbaya........?
 
Last edited by a moderator:
miss u honey....

Long time kweli......nilikuwa kijijini huko Handajega........ndio nimerudi mjini kipenzi......nipe mpya......cream gani sasa hivi imenata kwenye beat.........😝😝
 
Ushauri ungeomba kabla hujaacha nw unatuzingua tu....piga nyeto
 
We umeona simu tu unakonda?? Vumilia mwanakwetu uhusiano Una mengi we komaa tu mvumilivu hula mbivu, utaacha wangapi?
 
Back
Top Bottom