Pharm D
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,230
- 2,938
- Thread starter
- #41
Koffi Annan ni mwanadiplomasia nguli. Hizi kauli ngumu sana. Ni kama ambavyo waliooa madaktari na manesi wanavyoagwa kwenda night calls, walimu wanavyoenda semina na wafanyabiashara wanavyoenda kuchukua mizigo.Wakati akiwa anaenda guard usiku usije hapa kulalamika
Sent using Jamii Forums mobile app