naombeni msaada wanajamvi.
mimi nimsichana naombeni ushauri mwenzenu nikiwa katika mahusiano haichukui mda namchukia bf nitakae kuwa nae tena kila mda natamani kumuacha na nitafanya mbinu zote ili kuhakikisha tunaachana baada ya kuachana nakaa mda najutia maamuz hali hyo imenitokea miaka mingi sasa. nimejikuta nikipoteza wachumba wengi.naombeni ushauri wandugu
mimi nimsichana naombeni ushauri mwenzenu nikiwa katika mahusiano haichukui mda namchukia bf nitakae kuwa nae tena kila mda natamani kumuacha na nitafanya mbinu zote ili kuhakikisha tunaachana baada ya kuachana nakaa mda najutia maamuz hali hyo imenitokea miaka mingi sasa. nimejikuta nikipoteza wachumba wengi.naombeni ushauri wandugu