Naombeni Ushauri Nifanyeje

Yaani ulitumia fursa ulitumia fursa ya kuaminiwa na mjomba kama kichaka cha kufanyia mambo yako mabaya huku ukijua wazi kuwa ni mabaya. Yaani ulishindwa kabisa kwenda kuwinda huko porini hadi ukaamua kuwinda mifugo ya mjomba? Kibaya zaidi ni kuwa unaishi kwake!
 
fanya hivi nenda kajisalimishe kwake mapema kwa kumwambia ukweli
 
Ulivokuwa unamgalagaza binamu yako kwa bed, unamkunja bila hata ndomu mbona hukuja kusema huku
 
mkuu huyo ni dada yako, na umeamua kumpa mimba makusudi maana ungepita nae siku moja ningekutetea kuwa ulizidiwa ila miezi 8? mkuu kaongee na mama yako na umweleze bayana ili yeye akamkabili kaka yake
 
mkuu huyo ni dada yako, na umeamua kumpa mimba makusudi maana ungepita nae siku moja ningekutetea kuwa ulizidiwa ila miezi 8? mkuu kaongee na mama yako na umweleze bayana ili yeye akamkabili kaka yake
ahsante mkuu
 
Nenda mbaaaaali ambako mjomba hatakuona kamwe.
 
Hiyo ID yako jina lako ni kama vile ni mkurya na kama ni ndio basi kama unavyojua mila na desturi zetu unaruhusiwa kuona mtoto wa mjomba ila wa shangaz ndio haruhusiwi kwa hyo vuta jiko chap kidogo kijana
 
kama ulikua unajua mjomba anakuamini kiasi icho na hutaki kummumiza kwanini ulianzisha mahusiano ma binti yake?
oa tu mzee hamna namna hapo
 
Kula nguruwe sawa ila sasa uchague aliyenona!! Vipi ndugu yangu binamu yetu anachura wakusisimua?
 
Watu Kama wewe ndo mnafanya wanaume watukanwe na waonekane Kama watoto wasiofikiria kesho, hukujua Kama binamu yako anaweza kuzaa?
 
Hiyo ID yako jina lako ni kama vile ni mkurya na kama ni ndio basi kama unavyojua mila na desturi zetu unaruhusiwa kuona mtoto wa mjomba ila wa shangaz ndio haruhusiwi kwa hyo vuta jiko chap kidogo kijana
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri mzuri mura!
 
Ungekuwa karibu ningekuzaba kofi moja ujikojolee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…