Ukuta wa dhahabu
Member
- May 23, 2020
- 5
- 4
Jamani habari za majukumu,
Naomba niwape historia yangu ya maisha mwenye ushauri anisaidie ndugu zangu.
Iko hivi, Mimi ni kijana wa kiume naitwa Levocatus kwa sasa nipo Dar kwa rafiki yangu nilikuja huku kutafuta uahueni wa maisha lakini mambo yamegoma kabisa na kufikia hatua hii ya kuomba ushauri
Levocatus nimesoma kiasi ni mtaaluma wa afya niliehitimu mwaka Jana kulingana na ajira kuwa ngumu ikabidi nijichanganye kukomaa na kazi yoyote itakayonipa riziki halali lakini hali imekuwa ngumu kufikia hatua ya kukosa kabisa pesa ya kujikimu.
Mimi nilifiwa na wazazi wote wawili pindi nikiwa mdogo, nimekulia kwa ndugu mpaka kuhitimu masomo ikabidi niondoke nije mjini kujitafutia lakini imekuwa ngumu kufanikiwa maake sina mtaji ,sina ajira imefikia hatua nawaza mawazo ambayo sio mazuri imefikia hatua nakata tamaa.
Ninaomba kama kuna mtu anaehitaji mfanyakazi yoyote ambayo ni halali anisaidie plz kama una nyumba ambayo waweza kunihifadhi nikawa ndugu yako wa hiali na kunisaidia angalau nisimame na kujisimamia naomba mnisaidie
Kwa yeyote atayeguswa mjini hapa sina kazi,sina ajira wala chochote ambacho chaweza nisaidia hata nitakapopata tatizo Leo hii yote ya yote namshukuru Mungu kwa kunipa afya njema
Kwa yeyote ambae atahitaji kunisaidia au kunijua zaidi kwa ajili ya kunisaidia naomba anitumie ujumbe pm na pia napenda nisome zaidi ya nilipofikia najua kuna watu Mungu kawabariki sana kiuchumi na mengineyo
Ninaomba kama kuna mtu ataguswa kunisaidia naomba anisaidie niwe na ahueni ya maisha kama wengine hii yote kwa sababu sikuwahi kulelewa na wazazi wangu na ndio maana nakosa misingi ya kimaisha kwa sababu sina wa kunishauri ,sina wa kunisaidia
Nawaombeni mnisaidie kwa mwenye uwezo na nia ya kunisaidia ...kumbuka sipendi kuwa hivi nilivyo
Naomba niwape historia yangu ya maisha mwenye ushauri anisaidie ndugu zangu.
Iko hivi, Mimi ni kijana wa kiume naitwa Levocatus kwa sasa nipo Dar kwa rafiki yangu nilikuja huku kutafuta uahueni wa maisha lakini mambo yamegoma kabisa na kufikia hatua hii ya kuomba ushauri
Levocatus nimesoma kiasi ni mtaaluma wa afya niliehitimu mwaka Jana kulingana na ajira kuwa ngumu ikabidi nijichanganye kukomaa na kazi yoyote itakayonipa riziki halali lakini hali imekuwa ngumu kufikia hatua ya kukosa kabisa pesa ya kujikimu.
Mimi nilifiwa na wazazi wote wawili pindi nikiwa mdogo, nimekulia kwa ndugu mpaka kuhitimu masomo ikabidi niondoke nije mjini kujitafutia lakini imekuwa ngumu kufanikiwa maake sina mtaji ,sina ajira imefikia hatua nawaza mawazo ambayo sio mazuri imefikia hatua nakata tamaa.
Ninaomba kama kuna mtu anaehitaji mfanyakazi yoyote ambayo ni halali anisaidie plz kama una nyumba ambayo waweza kunihifadhi nikawa ndugu yako wa hiali na kunisaidia angalau nisimame na kujisimamia naomba mnisaidie
Kwa yeyote atayeguswa mjini hapa sina kazi,sina ajira wala chochote ambacho chaweza nisaidia hata nitakapopata tatizo Leo hii yote ya yote namshukuru Mungu kwa kunipa afya njema
Kwa yeyote ambae atahitaji kunisaidia au kunijua zaidi kwa ajili ya kunisaidia naomba anitumie ujumbe pm na pia napenda nisome zaidi ya nilipofikia najua kuna watu Mungu kawabariki sana kiuchumi na mengineyo
Ninaomba kama kuna mtu ataguswa kunisaidia naomba anisaidie niwe na ahueni ya maisha kama wengine hii yote kwa sababu sikuwahi kulelewa na wazazi wangu na ndio maana nakosa misingi ya kimaisha kwa sababu sina wa kunishauri ,sina wa kunisaidia
Nawaombeni mnisaidie kwa mwenye uwezo na nia ya kunisaidia ...kumbuka sipendi kuwa hivi nilivyo