Jamani nina rafiki yangu anafanya kazi kwa mkataba katika chuo flani cha serikali mkoani.
Sasa Mungu amemsaidia kapata kazi ya kudumu serikalini. Tatizo ni kwamba kule alipo yaani mkoani kwenye kazi yake ya mkataba mshahara ni mzuri na maslahi yapo kama , hela ya nyumba, uasfiri n.k. Huku kupya mshahara ni mdogo na hakuna maslahi yoyote ukizingatia na ugumu wa maisha ya Daslam....Uzuri ni kwamba kule mkoani bado hajavunja mkataba.. amekuja jijini kuripoti tuu ndo akakutana na hizo changamoto. Kwakweli kaniomba ni mshauri nikashindwa nianzie wapi?? anaomba ushauri kama aendelee na kazi yake ya mkataba yenye mshahara mzuri na maslahi ya kutosha au kishidashida aje tuu kwenye kazi ya kudumu isiyokuwa na maslahi yyt? nalileta kwenu wadau kwa unyenyekevu wa hali ya juu nikiomba ushauri wenu. MUNGU wa mbinguni awabariki sana.
Sasa Mungu amemsaidia kapata kazi ya kudumu serikalini. Tatizo ni kwamba kule alipo yaani mkoani kwenye kazi yake ya mkataba mshahara ni mzuri na maslahi yapo kama , hela ya nyumba, uasfiri n.k. Huku kupya mshahara ni mdogo na hakuna maslahi yoyote ukizingatia na ugumu wa maisha ya Daslam....Uzuri ni kwamba kule mkoani bado hajavunja mkataba.. amekuja jijini kuripoti tuu ndo akakutana na hizo changamoto. Kwakweli kaniomba ni mshauri nikashindwa nianzie wapi?? anaomba ushauri kama aendelee na kazi yake ya mkataba yenye mshahara mzuri na maslahi ya kutosha au kishidashida aje tuu kwenye kazi ya kudumu isiyokuwa na maslahi yyt? nalileta kwenu wadau kwa unyenyekevu wa hali ya juu nikiomba ushauri wenu. MUNGU wa mbinguni awabariki sana.