Naombeni ushauri na mawazo yenu

Naombeni ushauri na mawazo yenu

Hainz_04, Mtafutie Visaaaa na sababu... Maana hauna uhakika kabisaaa na uo ndo uwanaum me mwanamke akisema amepata jamaa nampa go aed maana najua io ndo itakuwa mwanzo wa kelele za kutaka nimiuoe ata sijajipanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Unampenda Na Umemuona Tofaut Kati Ya Wengi Jibu Gan Tena Unalohtaj Mkuu? Hebu Fanya Kile Nafsi Inakuelekeza Maana Katika Jambo Jema Mawazo Kinzani Hujitokeza
 
inaonesha huziamini hisia zako ingali bado mapema sana.
kwa mwelekeo huu wa kutojiamini na hisia zako, mwache binti aende kuolewa, ibaki stori tuu kua lilikua penzi la utotoni.
na safari bado ni ndefu sana, 4yrs in college labda una internship pia, bado ku-hustle kutafuta ajira na kujipanga kimaisha,

itakucost a lot of years to come, more than those 4yrs you are thinking, binti anasema yupo tyr kukusubr kwa sababu penzi bado motomoto kwake kwa kuzingatia ww ni firstboy wake but feelings change, mtaachana kipindi ambacho mtajengana uadui kwa kupotezeana fursa za ndoa zilizokua mbele yenu.

let the girl gooo, subiri ufike 3rd year then tafuta first year, umwache anamalizia chuo wakat ww umeenda kitaa kisaka maisha.
Cosmasjulius, kinachonpa waswas mmii Ni hiyo 4yrs kwamba atasettle kwangu tuu as nko men pke ake nlovtiwa nae najua awezi kataaa wte kingne mm bnafs miaka m4 naeza bdl mindset angu hapo ndo tatizo linapoanzia ila nampenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kama unampenda kweli na utakuja kumuoa binti wa watu ni sawa kusubiriana huku we ukiwekeza kwenye masomo mbona Mimi nilianza na shemeji yako since olevel na chuo tulikuwa wote ila kama wewe ni baharia muache aolewe tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo tayari nae yupo tyr kwa chcht shida ye n mwanachuo anagraduate mwezi wa5 mm n mwanachuo mwaka wa1 na kozi nayosoma ina 4yrs na binti hataki kuolewa.

Yaani ameshakataa kuolewa na yule mtu alomchumbia kwa ajili yangu.
Una boom sio? Kapeleke kishika uchumba umchukue KE wako
 
Cosmasjulius, kinachonpa waswas mmii Ni hiyo 4yrs kwamba atasettle kwangu tuu as nko men pke ake nlovtiwa nae najua awezi kataaa wte kingne mm bnafs miaka m4 naeza bdl mindset angu hapo ndo tatizo linapoanzia ila nampenda
Kwa hiki ulichokisema hapa ni dhahiri mahusiano yenu yanaweza badilika mbeleni huko hivyo ushauri wangu mueleze binti ukwel aolewe tu msipotezeane muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwache aolewe kwa maisha ya saivi yalivyo ni hatari kwako apo ukimaliza chuo una miaka mi3 ya kutafuta ajira ukipata bado kuna kujipanga mwaka mmoja au miwili utampa stress mtto wa watu alafu mtakuja kugombana bdaye embu mruhusu kiroho safi badilisha laini kwa muda inauma ila ni salama kwake mda mwingine mtu unayempenda msaidie kufanikisha jambo la hero kwake ata kama litakuumiza wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh ndo 1@4 utamkosa bado upate pesa labdaa chuo na biashara
Nipo tayari nae yupo tyr kwa chcht shida ye n mwanachuo anagraduate mwezi wa5 mm n mwanachuo mwaka wa1 na kozi nayosoma ina 4yrs na binti hataki kuolewa.

Yaani ameshakataa kuolewa na yule mtu alomchumbia kwa ajili yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo waachie wakubwa waoe, wewe utapata mwingine mbeleni huko cos bado unasafari ndefu sana kimaisha nahisi utampotezea muda mtoto wa watu, kwa sababu kapata mtu mwenye nia ya dhati ya kumuoa, wewe tumia mbinu yoyote kumuacha bt usimwambie kama una muacha, wew kata mawasiliano tuu silently atakata tamaa na atatoa fursa kwa waoaji!! Asije kuolewa ana 30+years bureee muache aolewe mapemaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom