Nina mchumba wangu (GF) ambaye nilianza uhusiano naye O Level 2016, muda huo nipo form 4 yeye akiwa form 3.
Kipindi tunasoma sikuweza kubahatika kufanya naye mapenzi kwa sababu shule yetu ilikuwa na sheria kali sana. Binti alikuwa muoga sana; nilimpata siku karibia na kufanya mitihani.
Shule niliyosoma haikuwa boarding ila wanafunzi wa kidato cha nne walitakiwa kuishi shuleni mtihani wa mwisho ukikarbia.
Kwakuwa yeye alikuwa anaishi mbali aliomba pia ahamie shuleni akawa ameruhusiwa. Baada ya prepo au wakati wa prepo tulikuwa tnakutana chemba tunachezeana adi kila m1 anaridhika.
Mchezo ulienda hivyo hadi nkamaliza shule. Kipindi nahitimu hakuwa na simu hivyo tukapotezana coz mimi nilienda mkoa mwingine kuendelea na masomo ya kidato cha 5&6.
Nikiwa mkoani nilianza kusikia skendo anatoka na fulani; haikuwa mtu mmoja, kama wa3 hivi. Nilimtoa akilni yani nkamsahau.
Siku moja nikiwa kidato cha tano iliingia namba mpya kuuliza akasema ni yeye. Tulichat sana nikamgusia habari nilizosikia kuhusu yeye, alikana na kusema hakuwai kufanya hivyo na hajawahi kufanya mapenzi na mtu yoyote. Ikumbukwe muda ananitafuta alikuwa amemaliza kidato cha nne 2017.
Kuthibitisha, akasema yeye ni bikra. Siku zilisonga mapenzi yetu yakachanua upya.
Tulichati sana (sex chat) japo alikuwa hujui ila nlimfundisha jinsi ya ku-reply. Alkuwa muoga sana kutamka tusi la aina yeyote coz amelelewa katika misingi ya dini. Akiwa form 4 aliwahi kuwa katika shirika la Utoto wa Yesu (Wakatoliki wanajua).
Matokeo yalivyotoka alpta division 3 ya 24, hivyo hakuchaguliwa kuendelea cha 5&6, zaidi alpata kuchaguliwa Chuo cha Ualimu Pwani.
Mimi nilikuwa Kilimanjaro, tulipanga siku anaenda chuo aje K'njaro; alifnkiwa kuja na kweli alkuwa bikra (altumia nauli yake) zaidi niligharamika chumba na chakula.
Mwezi wa 6 2019 tulipanga tusafiri wote, hivyo alikuja Moshi tukalala wote then safari.
Tarehe za mwishoni Mwezi wa 8 altakiwa kurudi chuoni hivyo akawa ameniacha; ilpofika mwezi wa kumi nami nkaenda chuoni kwa mwaka wa kwanza, Mwezi wa 12 mjomba wake aliye Zanzbar (mjomba ake kweli) alimuomba likizo ya Mwezi wa kumi na 2 aende; alintaarifu mapema. Kweli ilpofka mwezi wa12 akawa ameenda; amekaa siku chache akanipa taarifa kuna kuna mtu anataka kumuoa ila amekataa na amemjibu ana mchumba (ambaye ni mimi).
Jamaa kuona vile akamshirikisha mjomba ili amshawishi binti lakini jibu likawa hivyo hivyo kuwa ana mchumba.
Mjomba alimjulisha mama yake na binti ili amshawishi, mama amejaribu kumshawishi mwanawe akubali lakini binti msimamo ni ule ule kuwa ana mchumba (mimi).
Akiniuliza mimi kuhusu kuchumbiwa kwake na future eti mie namjibu AKUBALI AOLEWE; huwa anakasirika sana nikmjibu vile; akisema hawezi bila mimi.
Kiukweli ni msichana mzuri kwa macho yangu, ananitii haswa, ana hofu ya Mungu; amekua msaada kwangu, yupo karibu nami. Ananipenda pia nampenda sana.
Anamalizia certificate ya ualimu, ana 20yrs, mimi 23yrs.
Kama ingekuwa siyo shule na muda wa kuoa ungekuwa umefika, basi bila kupepesa macho angekuwa mke wangu. Shida inakuja mi bado mwanafunzi na kozi nayosoma ina 4 yrs.
Binti nampenda na ukiangalia tayari amektaa kuolewa kwa ajli yangu. Kinachonipa shida ni shule; japo anasema yupo tayar kunisubiri na yupo tayari kwa chochote ila mwisho tuwe wote.
Ni binti mwema sana kwangu
Naombeni ushauri. Jibu gani sahhi, mawazo gani sahihi nimpe au nimwambie ili baadaye nisije kulaumiwa naye au mwenyewe nisije jilaumu kwa siku za mbeleni?
Nipo dilemma kwa majibu ninayompa.
NOTE: Ni msichana wa aina yake; nimejhusisha na wengi ila yeye yu tofauti katika wengi -- nampenda.
Asanteni.
Kipindi tunasoma sikuweza kubahatika kufanya naye mapenzi kwa sababu shule yetu ilikuwa na sheria kali sana. Binti alikuwa muoga sana; nilimpata siku karibia na kufanya mitihani.
Shule niliyosoma haikuwa boarding ila wanafunzi wa kidato cha nne walitakiwa kuishi shuleni mtihani wa mwisho ukikarbia.
Kwakuwa yeye alikuwa anaishi mbali aliomba pia ahamie shuleni akawa ameruhusiwa. Baada ya prepo au wakati wa prepo tulikuwa tnakutana chemba tunachezeana adi kila m1 anaridhika.
Mchezo ulienda hivyo hadi nkamaliza shule. Kipindi nahitimu hakuwa na simu hivyo tukapotezana coz mimi nilienda mkoa mwingine kuendelea na masomo ya kidato cha 5&6.
Nikiwa mkoani nilianza kusikia skendo anatoka na fulani; haikuwa mtu mmoja, kama wa3 hivi. Nilimtoa akilni yani nkamsahau.
Siku moja nikiwa kidato cha tano iliingia namba mpya kuuliza akasema ni yeye. Tulichat sana nikamgusia habari nilizosikia kuhusu yeye, alikana na kusema hakuwai kufanya hivyo na hajawahi kufanya mapenzi na mtu yoyote. Ikumbukwe muda ananitafuta alikuwa amemaliza kidato cha nne 2017.
Kuthibitisha, akasema yeye ni bikra. Siku zilisonga mapenzi yetu yakachanua upya.
Tulichati sana (sex chat) japo alikuwa hujui ila nlimfundisha jinsi ya ku-reply. Alkuwa muoga sana kutamka tusi la aina yeyote coz amelelewa katika misingi ya dini. Akiwa form 4 aliwahi kuwa katika shirika la Utoto wa Yesu (Wakatoliki wanajua).
Matokeo yalivyotoka alpta division 3 ya 24, hivyo hakuchaguliwa kuendelea cha 5&6, zaidi alpata kuchaguliwa Chuo cha Ualimu Pwani.
Mimi nilikuwa Kilimanjaro, tulipanga siku anaenda chuo aje K'njaro; alifnkiwa kuja na kweli alkuwa bikra (altumia nauli yake) zaidi niligharamika chumba na chakula.
Mwezi wa 6 2019 tulipanga tusafiri wote, hivyo alikuja Moshi tukalala wote then safari.
Tarehe za mwishoni Mwezi wa 8 altakiwa kurudi chuoni hivyo akawa ameniacha; ilpofika mwezi wa kumi nami nkaenda chuoni kwa mwaka wa kwanza, Mwezi wa 12 mjomba wake aliye Zanzbar (mjomba ake kweli) alimuomba likizo ya Mwezi wa kumi na 2 aende; alintaarifu mapema. Kweli ilpofka mwezi wa12 akawa ameenda; amekaa siku chache akanipa taarifa kuna kuna mtu anataka kumuoa ila amekataa na amemjibu ana mchumba (ambaye ni mimi).
Jamaa kuona vile akamshirikisha mjomba ili amshawishi binti lakini jibu likawa hivyo hivyo kuwa ana mchumba.
Mjomba alimjulisha mama yake na binti ili amshawishi, mama amejaribu kumshawishi mwanawe akubali lakini binti msimamo ni ule ule kuwa ana mchumba (mimi).
Akiniuliza mimi kuhusu kuchumbiwa kwake na future eti mie namjibu AKUBALI AOLEWE; huwa anakasirika sana nikmjibu vile; akisema hawezi bila mimi.
Kiukweli ni msichana mzuri kwa macho yangu, ananitii haswa, ana hofu ya Mungu; amekua msaada kwangu, yupo karibu nami. Ananipenda pia nampenda sana.
Anamalizia certificate ya ualimu, ana 20yrs, mimi 23yrs.
Kama ingekuwa siyo shule na muda wa kuoa ungekuwa umefika, basi bila kupepesa macho angekuwa mke wangu. Shida inakuja mi bado mwanafunzi na kozi nayosoma ina 4 yrs.
Binti nampenda na ukiangalia tayari amektaa kuolewa kwa ajli yangu. Kinachonipa shida ni shule; japo anasema yupo tayar kunisubiri na yupo tayari kwa chochote ila mwisho tuwe wote.
Ni binti mwema sana kwangu
Naombeni ushauri. Jibu gani sahhi, mawazo gani sahihi nimpe au nimwambie ili baadaye nisije kulaumiwa naye au mwenyewe nisije jilaumu kwa siku za mbeleni?
Nipo dilemma kwa majibu ninayompa.
NOTE: Ni msichana wa aina yake; nimejhusisha na wengi ila yeye yu tofauti katika wengi -- nampenda.
Asanteni.
