Naombeni ushauri mdogo wenu..

gilldenu

JF-Expert Member
Mar 25, 2015
2,915
3,019
Mdogo wenu apa nna tatizo nisiwachoshe sana kwa maelezo meeeengi....
Iko ivi mi nna mpenzi tuna kama miaka miwili tangu tuwe pamoja....sasa uyu ndugu me nimetokea kumpenda kupita maelezo yan nampenda sana tatizo katika haya mahusiano ni mtindo wa kuachana na kuludiana ndo mchezo uo nahsi kagundua kuwa nimekufa nimeoza kwake.
Sasa nashindwa kumwacha nashindwa kumove on kila nkijitahidi utakuta mimi nashindwa kabisa kumsahau na kuachana nae....
Nkisema nisipokee simu yake siwezi ntapokea tu jaman msaada wa kumtoa uyu mtu moyoni nisaidieni mdogo wenu...
 
Mapenzi yanazinguaga sana.
Mkuu kama anakupelekesha ukiachana nae alafu useme umsahau utajidanganya Brain yako itachukua mda sana mumsahau maana ishazoea kama utamudu basi jua kuwa utapitia lots of pain, na unaweza shindwa hata kufanya mambo yako kiufasaha hadi ubongo utapozoea.

Kama saivi mmeachana jaribu kumbembeleza mrudiane then anza kupunguza mawasiliano nae
.kama ulikuwa unamtumia messages 10 kwa siku mtumie 5 au 7 siku zinavyozidi kwenda unapunguza dose
.kama ulikuwa unampigia simu Mara 5 mpigie Mara2

Jiweke busy na mambo yako mda unavyozidi kwenda utajikuta ubongo unamsahau na utaweza kumudu kuachana nae.
 
Mapenzi yanazinguaga sana.
Mkuu kama anakupelekesha ukiachana nae alafu useme umsahau utajidanganya Brain yako itachukua mda sana mumsahau maana ishazoea kama utamudu basi jua kuwa utapitia lots of pain, na unaweza shindwa hata kufanya mambo yako kiufasaha hadi ubongo utapozoea.

Kama saivi mmeachana jaribu kumbembeleza mrudiane then anza kupunguza mawasiliano nae
.kama ulikuwa unamtumia messages 10 kwa siku mtumie 5 au 7 siku zinavyozidi kwenda unapunguza dose
.kama ulikuwa unampigia simu Mara 5 mpigie Mara2

Jiweke busy na mambo yako mda unavyozidi kwenda utajikuta ubongo unamsahau na utaweza kumudu kuachana nae.
Barikiwa sana mkuu ntaufanyia kazi ushauri kwakweli
 
Sikia iko hivi "Usiache kazi kabla hujapata kazi'
Tafuta mtu mwingine huku upo naye yeye unakua unahamisha virago kidogo kidogo, pia utaweza kufananisha real love ya kitu kipya na huyu anayetishia afya ya moyo wako.
 
hata sisi tulikuwa hivyo .. tumeanza taratibu tu.. unajaribu je nisipomcheki wiki itawezekana.. mpaka tumeachana jumla..!!!
 
Kunyonya titi LA mama yako uliweza halafu jambo dogo kama kuachana naye unashindwa? Acha kuendekeza fikra zako zifungwe na mambo madogo kama hayo Ku move on ni rahisi zaidi kuliko kupokea penzi jipya.
 
Nataka kukuuliza swali mko naye sehemu 1 kazi au shuleni? Pia ninachokwambia kuwa busy sana tatzo unamuda mwingi uko free ndio tatzo ila shughulisha akili kwa mambo mengine ya maendeleo mapenzi yapo tu

mbona cc wengine tumeweza na tuko single muda mrefu nikuwa busy na kufanya kazi basi
 
Nataka kukuuliza swali mko naye sehemu 1 kazi au shuleni? Pia ninachokwambia kuwa busy sana tatzo unamuda mwingi uko free ndio tatzo ila shughulisha akili kwa mambo mengine ya maendeleo mapenzi yapo tu

mbona cc wengine tumeweza na tuko single muda mrefu nikuwa busy na kufanya kazi basi
Asante ntafanyia kazi
 
Back
Top Bottom