habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Hahaha woyoooMapenzi raha ukipata mwenye akiri.. Kwangu full kuchunana.. Nichune nkuchune
Hahaha woyoooMapenzi raha ukipata mwenye akiri.. Kwangu full kuchunana.. Nichune nkuchune
wewe ndio umesema hivyostop saying true love doesn't exist.have u dated me?!!
🙄🙄 nani sijui alisemaga hivyo.
me nimecopy bwanawewe ndio umesema hivyo
Sawa....me nimecopy bwana
Binafsi sina muda wa mapenz zaidi ya kugegeda tuu yoyote atakaekaaa mbele yangu.Ukimuuliza mwanamke atakwambia wanaume wanasumbua na ukimuuliza mwanaume atakwambia wanawake wa sasa wanasumbua so nilishindwa kuelewa which is which.Niliachana na mapenz wala sina muda nayo wala siyafikiliii nachowaza ni kula papuchi yoyote itakayokuja mbele yangu....Niko free nafanya mambo yangu sisumbuliwi na mapenz tena Nina amani ya kutosha sana moyoni mwangu.Wasalaam
Wakuu nimekaa na kutafakari yani naona kama vile mapenzi ni kupoteza muda tu kwa vitu vya kipuuzi,
Full of stress
Kupoteza hela
Kupoteza muda
Kukosa amani
Yaani mimi nahisi mapenzi kwangu umekua ni upuuzi mbaya zaidi siku hizi madada mengi ni majinga, ukilipenda lenyewe linajua cha kukupa ni sex tu halina jipya tena hata ushauri tu halina,
Unajikuta mwanaume ndio unaloose vitu vingi kwaajiri ya mtu asiyejielewa
Jamani naombeni ushauri nifanyeje mimi ili nisahau kabisa kuhusu ishu za mapenzi,
Waschana siku hizi hamna asilimia kubwa ni vimalaya tu na vidangaji
Hapa umeongea pointikama hutaki kutoa vyako we ni mbinafsi na mchoyo.Unataka upewe papuchi bila kutoa chochote.Kwenye Mapenzi hakuna mimi kuna sisi.Piga Punyeto na ufanye ishu nyingine kama mapenzi yamekushinda.
mkuu ingependeza kama ungeoa kabisaWasalaam
Wakuu nimekaa na kutafakari yani naona kama vile mapenzi ni kupoteza muda tu kwa vitu vya kipuuzi,
Full of stress
Kupoteza hela
Kupoteza muda
Kukosa amani
Yaani mimi nahisi mapenzi kwangu umekua ni upuuzi mbaya zaidi siku hizi madada mengi ni majinga, ukilipenda lenyewe linajua cha kukupa ni sex tu halina jipya tena hata ushauri tu halina,
Unajikuta mwanaume ndio unaloose vitu vingi kwaajiri ya mtu asiyejielewa
Jamani naombeni ushauri nifanyeje mimi ili nisahau kabisa kuhusu ishu za mapenzi,
Waschana siku hizi hamna asilimia kubwa ni vimalaya tu na vidangaji