Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,261
- 12,620
Wasalaam wakuu.
Mimi niko dar
Kuna kampuni ipo Mwanza niliomba Kazi online...
Wakanipa mitihani migumu na technical, nkafanya,,nkafaulu.
Sasa baadaye(jumatano iliyopita) executive director mwenyewe akanicheki email akaniambia thank you for your answers..akaniuliza kama ntakuwa tayari Kwa interview Juma3 tar 26
Nikakubali
Ila nilipojibu ile email kuconfirm hajanijibu mpaka leo.
Alhamisi Nikamtumia Tena email kumuuliza interview itafanyikia wapi hajajibu.
Jana ijumaa nkampigia akapokea(Ni mzungu) nkamuelezea Kila kitu akasema okay ntakutumia details kuhusu location ya interview through email.
Lakini mpaka Sasa Hajatuma.
Interview Juma3
Najiuliza wazee nijitungue niende Tu iyo kesho Mwanza ili jumatatu niwaibukie ofisini au vipi?
Au Ni njia ya kupunguza watu wameitumia?
Nifanye Nini wakuu?
Mimi niko dar
Kuna kampuni ipo Mwanza niliomba Kazi online...
Wakanipa mitihani migumu na technical, nkafanya,,nkafaulu.
Sasa baadaye(jumatano iliyopita) executive director mwenyewe akanicheki email akaniambia thank you for your answers..akaniuliza kama ntakuwa tayari Kwa interview Juma3 tar 26
Nikakubali
Ila nilipojibu ile email kuconfirm hajanijibu mpaka leo.
Alhamisi Nikamtumia Tena email kumuuliza interview itafanyikia wapi hajajibu.
Jana ijumaa nkampigia akapokea(Ni mzungu) nkamuelezea Kila kitu akasema okay ntakutumia details kuhusu location ya interview through email.
Lakini mpaka Sasa Hajatuma.
Interview Juma3
Najiuliza wazee nijitungue niende Tu iyo kesho Mwanza ili jumatatu niwaibukie ofisini au vipi?
Au Ni njia ya kupunguza watu wameitumia?
Nifanye Nini wakuu?