Naombeni ushauri kuhusu biashara ya Mgahawa

Naombeni ushauri kuhusu biashara ya Mgahawa

Mayova

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2018
Posts
231
Reaction score
217
Msaada kwa wale wazoefu wa biashara ya MGAHAWA naombeni uzoefu kwenye changamoto na faida ya hii biashara.

Tanguliza shukrani
 
Usafi wa vyombo, wahudumu, wapishi, na jengo/kilinge; tasty and nutritious food; huduma nzuri; eneo/location.
 
Iko poa sana,kama utazingatia na kufata yafuatayo.
Usafi
Chakula kizuri
Wahudumu wenye nidhamu na ukalimu.
Ubunifu wa vyakulala
Uduma kupatikana kwa uwakika
Nk.


Sent from my F-02H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom