Naombeni ushauri, kozi ya Automobile Engineering

Naombeni ushauri, kozi ya Automobile Engineering

Kadabrah

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
54
Reaction score
7
Mi ni mmoja wa victims wa second round application na nimechagua automobile eng ya NIT kozi hii ni miaka 4, na mkopo ina priority ningependa kujua ukweli kuhusu hii kozi kama ni ngumu na vipi upatikanaji wake wa kazi natanguliza shukrani
 
subiri wanakuja , but hiyo ni cozy nzuri kwa sababu ni part ya Mechanical Engineering,
 
ningependa kujua ukweli kuhusu hii kozi kama ni ngumu na vipi upatikanaji wake wa kazi natanguliza shukrani

Ivi kuna kozi rahisi kweli??? kama umechagua kozi kwa kuangalia urahisi basi huko hapakufai!!!
 
piga shule kijana Mwenyezi Mungu ni mwaminifu daima na uwe na tumaini la kupata ajira kama tu utaisoma kwa juhudi zako zote ili kile kilichokusudiwa kwenye kozi hiyo utoke hapo ukiwa unakijua kwa ukamilifu wake na si bra.bla !!
 
piga shule kijana Mwenyezi Mungu ni mwaminifu daima na uwe na tumaini la kupata ajira kama tu utaisoma kwa juhudi zako zote ili kile kilichokusudiwa kwenye kozi hiyo utoke hapo ukiwa unakijua kwa ukamilifu wake na si bra.bla !!

WISE TALK shukran sana ndugu ntafanyia kazi ushauri wako
 
hiyo ni kama mechical engineering ila majoring kwenye uhandisi wa magari(ainia zote) na mapikipiki ..kozi nzuri sana maana una fursa pia za logistics and transport..
 
hiyo ni kama mechical engineering ila majoring kwenye uhandisi wa magari(ainia zote) na mapikipiki ..kozi nzuri sana maana una fursa pia za logistics and transport..

Nashukuru kwa kunfahamisha hilo ngoja nikakomae
 
Mungu akisema ndio/hapana hakuna ubishi kwahiyo ukipata chuo kasome ukiwa unamuomba Mungu
 
na mie nimechagua bachelor of
science hortculture sua kwenye
second round selction lakini
sifahamu hii course ipoje na ajira
zake naomba kwa anayefahamu
anijibu please
 
Mi ni mmoja wa victims wa second round application na nimechagua automobile eng ya NIT kozi hii ni miaka 4, na mkopo ina priority ningependa kujua ukweli kuhusu hii kozi kama ni ngumu na vipi upatikanaji wake wa kazi natanguliza shukrani
Usijari kijana mie nipo hapo NIT naingia mwaka wa 3 sasa hapo!!!
Ni koz nzuri kwasababu magari mengi ya sasa yanahama kutoka mechanical mpaka computerlized kwahyo gereji bubu zinatoweka taratibu kwahyo inafanya kuanzishwa kwa sekta rasmi kabisa katika eneo hili.
kwahyo kuhusu ajira sio lazima uajiliwe hapa kaka kwasababu U can alwayz build Ur name from the ground Up.
Koz hiiinahitaji sanaa utendaji zaidi ya polojo za kisiasa unapewaa tatizo rekebishaa huwezi mteja anakimbiaa iko hvyo.
Karibu Auto-Nit kaka.
 
Kama kuna mwenye uzoefu ktk magari makubwa please call 0767386011
 
Usijari kijana mie nipo hapo NIT naingia mwaka wa 3 sasa hapo!!!
Ni koz nzuri kwasababu magari mengi ya sasa yanahama kutoka mechanical mpaka computerlized kwahyo gereji bubu zinatoweka taratibu kwahyo inafanya kuanzishwa kwa sekta rasmi kabisa katika eneo hili.
kwahyo kuhusu ajira sio lazima uajiliwe hapa kaka kwasababu U can alwayz build Ur name from the ground Up.
Koz hiiinahitaji sanaa utendaji zaidi ya polojo za kisiasa unapewaa tatizo rekebishaa huwezi mteja anakimbiaa iko hvyo.
Karibu Auto-Nit kaka.

Thanx brodah i wish to meet you there.
 
Mi ni mmoja wa victims wa second round application na nimechagua automobile eng ya NIT kozi hii ni miaka 4, na mkopo ina priority ningependa kujua ukweli kuhusu hii kozi kama ni ngumu na vipi upatikanaji wake wa kazi natanguliza shukrani




Course nzuri hiyo dogo sababu ni sehemu ya mechanical engineering....sema msuli wake mkubwa
 
hiyo utapata kazi kwenye makampuni makubwa kama vile samsung,autorec,volskwagen etc, kapige kaka!

sorry kwenye kampun kama ya samsung ni kazi gani zinahusika na hii fani yangu
 
mbona unanitisha nishauri kama unaijua?

hii kozi inahusika na kilimo cha maua na mboga mboga wanavyodai ina uwanja mpana ktk kujiajir na pia unaweza pata ajira ktk makampun na ktk Ngo's mbalimbal
 
Back
Top Bottom