Naombeni ushauri juu ya hili!

Naombeni ushauri juu ya hili!

mkwawa gabriel

Senior Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
100
Reaction score
23
Mie ninamchumba wangu ambae nimedumu nae takribani sasa miaka 5.Tulianza mahusiano mie nikiwa nimemaliza kidato cha sita yeye cha nne,nikaenda chuo kikuu yeye akaenda advance level lakini mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana na nilijitahidi kumpatia kila kitu na kumwonyesha penzi la dhati nilipo maliza chuo kikuu mwaka jana yeye akajiunga jeshi na kurudi kuendelea na masomo chuo kikuu cha Dar es salaam sasa ameanza kubadilika mawasiliano yanapungua kila siku,matusi kila kukicha na cha ajabu zaidi nikimkosoa pale anapokuwa amekosea anakuwa mkali sana na kunambia tuvunje uhusiano wetu,na kwa sasa ameanza kutoa sababu nyingi sana ni kama vile hataki kuonana na mie tena na pia amefika mbali za kuanza kuniita mie maskini wa kutupwa naombeni ushauri wenu jamani nifanye nini kwa sababu alipata mimba akaitoa na nikimgusia suala la kuoana anasema hayupo tayari kuolewa kwasababu mie sina chochote,na cha ajabu anajeuri,kiburi,dharau,na kujisikia na mie nampenda sana kwasababu miaka yote nimewekeana malengo ya kuoana nae!!!
 
Umesema alijiunga jeshi??!!....... Mapenz hayalazamishi ndg yangu. Mwanamke akikuchoka hapo ni kukaa pemben mpishe aende zake. Mbona bado wapo wengi tu.... Usilazimishe kukaribisha nyoka ndani mwako ipo siku atakugonga utaumia vibaya. Bora kabadlika akiwa mchumba kuliko angebadlika akiwa tayar mke
 
Kaka sepa huyo bdo anakula ujana na kukuita maskini ni dhereu kubwa, mteme fanya yko utapata akufaae.ingekua mimi hata ushauri siombi mana hata tofauti na paka wa bar
 
Pole sana kaka,ila hapo ukweli unajionyesha kabisa kuwa huyo dada hakupendi na mwisho wa cku ukilazimisha hamtakuwa na mwisho mzuri...cha kufanya wewe achana nae tu utapata mwingine,ila na wadada wengine sijui wakoje yan unapata bahati ya kupendwa kiasi hiki bado unaleta ujinga,"kwenye miti hakuna wajenzi nmeamin."
 
bado u kipofu wa mapenzi?
hata vitendo vyake huoni?
chukua hatua haraka, maisha haya ni mafupi kujipa stress!
 
Mie ninamchumba wangu ambae nimedumu nae takribani sasa miaka 5.tulianza mahusiano mie nikiwa nimemaliza kidato cha sita yeye cha nne,nikaenda chuo kikuu yeye akaenda advance level lakini mahusiano yetu yalikuwa mazuri xana na nilijitahidi kumpatia kila kitu na kumwonyesha penzi la dhati nilipo maliza chuo kikuu mwaka jana yeye akajiunga jesh na kurudi kuendelea na masomo chuo kikuu cha dar es salaam sasa ameanza kubadilika mawasiliano yanapungua kila siku,matusi kila kukicha na cha ajabu zaidi nikimkosoa pale anapokuwa amekosea anakuwa mkali sana na kunambia tuvunje uhusiano wetu,na kwa sasa ameanza kutoa sababu nying sana ni kama vile hataki kuonana na mie tena na pia amefika mbali za kuanza kuniita mie maskin wa kutupwa naombeni ushauri wenu jaman nifanye nini kwa sababu alipata mimba akaitoa na nikimgusia suala la kuoana anasema hayupo tayari kuolewa kwasababu mie sina chochote,na cha ajabu anajeuri,kiburi,dharau,na kujisikia na mie nampenda sana kwasababu miaka yote nimewekeana malengo ya kuoana nae!!!

Everything in your life is a reflection of a choice you have made. If you want a different result, make a different choice.
 
Dah,pole sana..bt dah kak kama kusoma haujui hata picha umeshindw kutambua.kutakuw na Luteni anampa jeuri huyo.fanya yako mapema kabla luteni hajakupiga bistola.
 
Go on, begone, bye bye...! Yani nkisikiaga haya maneno kwenye lile li-song la rihana fading napata nguvu sana! Ni hivi mkaka hapo mapenz yameisha...mapenz ni mkataba...siyo kila unaye-mdate lazima umuoe!tunapeana tu xprience
 
ushauri wa bure.
jaribu kukaa na maaskari w kiume wakueleze tabia za askari wa kike.
Na kama kapitia jkt ndo hawafai kwan pa...chi zao znakuwa na sugu kwa kutumika bila mpangilio.
Achana nae
 
kaka nikuambie tu ukwel askari wa kike pasua kichwa nawajua vizur mnoo hawana true luv halafu fanya research utagundua wengi wao hawajaolewa wanazalishwa tu na.ni nyumba ndogo hata askari wakiume wengi wameoa walimu manesi na mama wanyumbani kwa expirience yangu raia wa kawaida kuwa na askari ni promotion sasa kaka utavumilia akikuambia anaenda lindo ucku na ww upo nyumbani kisha mda wakazi umeisha anakuambia anaunga shifti nawe huruhusiwi kuingia jeshini kwenda kuangalia ratiba kinacho kutesa ni mawazo mgando kuwa kijijini ulipotoka wote wanajua ni mchumba wako so unahisi utadharauliwa mwenzio kachukua kauli mbiu bora askari kufia vitani kuliko kurudi nyuma msaliti vitani azabu yake ni kupigwa risasi. wapo askari wa kike wenyenidham mno lakini hawa waliotoka na malezi bora nyumbani kwao lakini huyo wako c dhani tena yupo mlimani kalagabaho. ok any way yupo coz gani na anaasili ya wapi naww ni wa wapinasema hivicoz nafanya nao kazi wizara moja na mm kama mtumishi raia.
 
Khaaa! We vipi? Acha ulafa!! Hayo yote umeng'ang'ania tu hadi utolewe roho? Mwhee! Mahaba nizike!! Haya jizike!! Kimbiaaaaa!!!
 
ukiona vitu havisomeki chapa lapaaaa..hujazaliwa nae huyoo wala si nduguyo mmekutana ukubwani kila mtu kitovu kilitupwa kwao anakupa shida ya nini? kudumu muda mrefu sio sababu
 
Jichunguze vizuri una matatizo.Hua ni ngumu sana kumwoa mwanamke alowahi kutoa mimba yako tena Kwa hiari yako maana anakuona sehemu ya ukatili aloufanya na anakuona muuaji.Siku ukiwa na mchumba ukamruhusu kwenda chuo bila kukuzalia mtoto au kufunga nae ndoa ujue uwezekano wa kumuoa ni mdogo zaidi kuliko Sumaye kuupata urais 2015.
 
Back
Top Bottom