frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Nilitapeliwa sh 1,600,000 na ndg. fulani, kisha akatoloka kwa masiku kadhaa, nikatoa taarifa ya kuibiwa polisi urafiki ubungo na kupatiwa RB... wakati wa mizunguko ya ndugu zangu wa karibu wakamuona mwiz wangu sehemu nilipotoa taarifa polisi niliombwa sh 40000 kwa ajili ya usafiri kumfata kimala ( sikutoa), nikaenda mwenyewe nakufanikiwa kumkamata na wasamalimia wema mpaka polisi, hakatupwa ndani polisi aliyekuepo zamu akaniomba ya maji ya kumshungulikia (sikutoa na kunitishia) baadaa ya siku mbili nikapangiwa mpelelezi wa kesi hiyo naye akaniomba sh 100,000 iliafanye kazi kwa haraka sanaaa mpaka sasa tunasumbua nayeeeee n.k
je nifanyaje wakuu? ushauri na maoni karibu.
Nimejaribu kunukuu vifungu vywa katiba na sheria mbalimbali juu ya hili nimeonekana mkolofi na kutishiwa.......
je nifanyaje wakuu? ushauri na maoni karibu.
Nimejaribu kunukuu vifungu vywa katiba na sheria mbalimbali juu ya hili nimeonekana mkolofi na kutishiwa.......