Naombeni ushauri jamani....

Naombeni ushauri jamani....

prince alen

Member
Joined
May 29, 2012
Posts
29
Reaction score
6
Jamani wana MMU naombeni ushauri kuna bi dada mi nimempenda kwelikweli mwanzo alikuwa rafiki tu baada ya mapenzi kunizidia nikaamua kumwambia cha ajabu hakukubari wala kukataa ila akanambia eti kwa sasa hayupo tayari kuwa ktka mahusiano yeyote...nilifadhaika sana nikaacha hata kuwasiliana nae baadae akaanza yeye kunitafuta then nikaanzisha tena vilivojikita moyoni mwangu muda huu akakubari lakin cha kushangaza hataki nifanye vitu vifuatavyo...,kumkiss,kumkumbatia,kwenda kujitambulisha kwao (maana umri unaruhusu mi niilitaka kusonga hatua nyingine),na pia hataki marafiki zake na zetu wajue....nikajua labda kwa sababu hatujafanya lile tendo takatifu...so nikafanya utaratibu tuhondomole yeah! we did it ingawa ushirikiano haukuwa mzuri nikasema ah kwa kuwa ni first time.....ajabu baada ya hapo ndo kazidisha mapozi sasa hata kuonana ni kwa kubembelezana nilipomuomba turudie tendo lile ndo inakuwa ugomvi sababu yake kuwa yeye huwa hapendi tu kitendo hicho...JAMANI NAOMBENI USHAURI MAANA NATAKA AWE WANGU WA MAISHA JE ANANIPENDA KWELI HUYU
 
Jamani wana MMU naombeni ushauri kuna bi dada mi nimempenda kwelikweli mwanzo alikuwa rafiki tu baada ya mapenzi kunizidia nikaamua kumwambia cha ajabu hakukubari wala kukataa ila akanambia eti kwa sasa hayupo tayari kuwa ktka mahusiano yeyote...nilifadhaika sana nikaacha hata kuwasiliana nae baadae akaanza yeye kunitafuta then nikaanzisha tena vilivojikita moyoni mwangu muda huu akakubari lakin cha kushangaza hataki nifanye vitu vifuatavyo...,kumkiss,kumkumbatia,kwenda kujitambulisha kwao (maana umri unaruhusu mi niilitaka kusonga hatua nyingine),na pia hataki marafiki zake na zetu wajue....nikajua labda kwa sababu hatujafanya lile tendo takatifu...so nikafanya utaratibu tuhondomole yeah! we did it ingawa ushirikiano haukuwa mzuri nikasema ah kwa kuwa ni first time.....ajabu baada ya hapo ndo kazidisha mapozi sasa hata kuonana ni kwa kubembelezana nilipomuomba turudie tendo lile ndo inakuwa ugomvi sababu yake kuwa yeye huwa hapendi tu kitendo hicho...JAMANI NAOMBENI USHAURI MAANA NATAKA AWE WANGU WA MAISHA JE ANANIPENDA KWELI HUYU

dah tunatofautiana kuona ukweli, hakupend mkuu ila anazuga zuga nawe ili ampate yule ampendae au anae bt ypo mbali kdogo, mbona ipo waz hyo
 
mmmh! wakati mwingine nashindwa kuelewa mawazo ya vijana wa siku hizi kwakweli. kwanza kabisa mleta mada yaelekea bado hujajua unataka nini kwenye maisha yako. Na ndio maana hata ulichkiandika bado hakieleweki kabisaaaaaaaaa ila nitakusaidia kidogo nilichoambulia.

huyu dada anasura mbili ambazo nitazieleza hapa
Sura ya kwanza ni kwamba hajiamini as ni mwoga wa kuwa kwenye mahusiano, kuwa muwaz kwa mtu, na hata kuingia kwenye serious relationship. yawezekana haya yaawa ni matokeo ya past experiences ambazo alishawahi kupata yeye ama mtu wa karibu yake. matokeo ya hizi histiry za nyuma huzaa kutojiamini na hata kutokuwa na hisia kabisa manake mtu yuko insecured.

sura ya pili yawezekana kabisa huyu bint hajakupenda so nafsi yake iko bado ina debate juu ya uamuzi wake kwake.hadi wewe kwenda kufanya nae tendo la ndoa bado ni kwamba alifanya ili akuridhishe tu lkn yeye wala hata hana habari. na pia inaelekea kabisa hata kujiskia kama anafanya tendo hajiskii kabisaaaaaa. sasa hapa huwez kumfundisha mtu kukupenda wewe ila mtu anatakiwa ajifunze kukupenda yy mwenyewe.

ushauri wangu kwako kwakufuata senarious zote mbili ni kwamba hebu tuliza akili yako kwanza kisha msome taratibu kama ni wako mwenyewe atanasa anyavuni ila kama sio atapeperuka tu. usiumize akili sana kwasababu yake na wala usione hitaj lako la kuoa ni muhimu sana ukasahau kwamba hitaji lako la kuwa na mke anayekupenda kwa dhati ni muhimu zaidi ya yote.
 
kwako anazuga kimtindo, na hakupendi wewe unalazimisha, jaribu kutuliza akili uangalie upya mstakabali wako ...
 
kijana huyo anaona she doing u a favour kwa kuwa nawe...sasa wee sepa
 
mmmh! Wakati mwingine nashindwa kuelewa mawazo ya vijana wa siku hizi kwakweli. Kwanza kabisa mleta mada yaelekea bado hujajua unataka nini kwenye maisha yako. Na ndio maana hata ulichkiandika bado hakieleweki kabisaaaaaaaaa ila nitakusaidia kidogo nilichoambulia.

Huyu dada anasura mbili ambazo nitazieleza hapa
sura ya kwanza ni kwamba hajiamini as ni mwoga wa kuwa kwenye mahusiano, kuwa muwaz kwa mtu, na hata kuingia kwenye serious relationship. Yawezekana haya yaawa ni matokeo ya past experiences ambazo alishawahi kupata yeye ama mtu wa karibu yake. Matokeo ya hizi histiry za nyuma huzaa kutojiamini na hata kutokuwa na hisia kabisa manake mtu yuko insecured.

Sura ya pili yawezekana kabisa huyu bint hajakupenda so nafsi yake iko bado ina debate juu ya uamuzi wake kwake.hadi wewe kwenda kufanya nae tendo la ndoa bado ni kwamba alifanya ili akuridhishe tu lkn yeye wala hata hana habari. Na pia inaelekea kabisa hata kujiskia kama anafanya tendo hajiskii kabisaaaaaa. Sasa hapa huwez kumfundisha mtu kukupenda wewe ila mtu anatakiwa ajifunze kukupenda yy mwenyewe.

Ushauri wangu kwako kwakufuata senarious zote mbili ni kwamba hebu tuliza akili yako kwanza kisha msome taratibu kama ni wako mwenyewe atanasa anyavuni ila kama sio atapeperuka tu. Usiumize akili sana kwasababu yake na wala usione hitaj lako la kuoa ni muhimu sana ukasahau kwamba hitaji lako la kuwa na mke anayekupenda kwa dhati ni muhimu zaidi ya yote.

for sure mkuu nimefurahi sana kwa ushauri wako thanks very much mkuu
 
Ukute huwezi mziki vizuri hivyo ikabidi akuone waki4 kabisa.
 
sisi tutajuaje kuwa anakupenda? muulize yeye
 
hapo yupo mguu ndani mguu nje akiambiwa goooooo utabakia na manyoya.
 
Huyo kuna mtu anampenda bado ila kuna mtu wake haeleweki ukionacho ni vile bado anaimani atarudi ndio maana hataki watu wajue asije akampoteza kabisa!! Huyo hana mapenzi na wewe so hebu kavumbue kifaa kisicho na stress
 
Daaaa huyo binti mikakati yake nimeipenda lolz.. So unique!

Hataki kukumbatiwa, hataki kiss.. Ila tunda anatoa.. Haha haaaaaa..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Pole sana kama vp mpotezee sio bahati yako..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sisi tutajuaje kuwa anakupenda? muulize yeye

Upendo sio maneno ndugu yangu...matendo yake yanatakiwa yajieleze yenyewe...huna haja ya kumuuliza mtu kama anakupenda au laa,matendo yake kwako ndo kipimo cha upendo!
Ni mtazamo tu....
 
Jamani wana MMU naombeni ushauri kuna bi dada mi nimempenda kwelikweli mwanzo alikuwa rafiki tu baada ya mapenzi kunizidia nikaamua kumwambia cha ajabu hakukubari wala kukataa ila akanambia eti kwa sasa hayupo tayari kuwa ktka mahusiano yeyote...nilifadhaika sana nikaacha hata kuwasiliana nae baadae akaanza yeye kunitafuta then nikaanzisha tena vilivojikita moyoni mwangu muda huu akakubari lakin cha kushangaza hataki nifanye vitu vifuatavyo...,kumkiss,kumkumbatia,kwenda kujitambulisha kwao (maana umri unaruhusu mi niilitaka kusonga hatua nyingine),na pia hataki marafiki zake na zetu wajue....nikajua labda kwa sababu hatujafanya lile tendo takatifu...so nikafanya utaratibu tuhondomole yeah! we did it ingawa ushirikiano haukuwa mzuri nikasema ah kwa kuwa ni first time.....ajabu baada ya hapo ndo kazidisha mapozi sasa hata kuonana ni kwa kubembelezana nilipomuomba turudie tendo lile ndo inakuwa ugomvi sababu yake kuwa yeye huwa hapendi tu kitendo hicho...JAMANI NAOMBENI USHAURI MAANA NATAKA AWE WANGU WA MAISHA JE ANANIPENDA KWELI HUYU
Sikia Dogo mwenzio alijua we ni zinga la dume..,akikupa utamfikisha.,inaonekana ulichamka ndio maana anaona unamchezea chezea tu..,Kijana fanya maalifa ukikaa hivyo hivyo kila siku utakuwa unaomba ushauri..,we unaona wale jamaa wanaozunguka vimeza vya pweza hawana akili timamu..,wanatafiuta maarifa nyumba iwe na heshima..,shauri yako na ukioa watakubebea mkeo mpaka ukome..ni PM nkupe kizizi..!
 
Sasa tukushauri nini hapo jamani yani wewe kusoma hujui hata picha nazo shinda,CHAPA LAPA SIO PA KUTUA MIZIGO HAPO.
 
UOMBEWE, dhambi ya uzinzi inakusumbua. dhambi nyingine utendwa nje ya mwili bali uzinzi kwa mwili wako mwenyewe.Ameona we mzinzi hakutaka tutenda dhambi hiyo tena.ulitaka kuendelea kuharibu maisha yake.tafuta mke wa kuoa si kuchezea na ndo baadae utangaze ndoa baada ya kum
choka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom