Naombeni ushahuri kwa hili

Naombeni ushahuri kwa hili

Japo umetudanganya tutakushauri,maana haiwezekani mwanamke akutongoze halafu ushindwe kumwambia kuwa una mtu tena ukizingatia mtu wako ni mjamzito.Pole kwa kulikoroga.

Lakini pole pia kwa kunasa kwenye mtego wa huyo wa pili wa kutaka umpe mimba.Kitendo cha wewe kuja kuomba ushauri kina onyesha kuwa kwa namna moja unataka kumkubalia ombi lake.

Pia pole kwa kuwa muoga maana inaonekana kitisho chake cha kusambaratisha uhusiano wako kimekuingia,kwa hili pia pole kwa kutokuwa mwanaume shababi maana ningekuwa mimi hicho kitisho ndio ingekuwa tiketi yake

Ushauri: Ukitaka uje kuishi maisha magumu hapa duniani basi wewe mpe huo ujauzito anaotaka.

Hapo sijadanganya kitu wanaume wangapi wana hadi wake na watoto lakini pado wana tongoza au tongozwa na wadada wanawakubalia.....ushauri wa mwisho nauangalia kwa jicho la tatu uweza ukawa wa busara...ila ana vitisho kuharibiwa mahusiano kisa mchepuko ndo kinaniwasha kichwa
 
Mimi naona hii elimu yetu bongo inashuka kweli,yaani watu wanamaliza vyuo uwezo wao wa kufikiri ni mdogo mno kama mtu wa form 4,janga kwa taifa.

Suala la mahusiano huwavuruga wote wa elimu yoyote wale labda wewe ujawahi kuwa ni mahusiano nn ila kama upo nazani wajua.
 
Hapo sijadanganya kitu wanaume wangapi wana hadi wake na watoto lakini pado wana tongoza au tongozwa na wadada wanawakubalia.....ushauri wa mwisho nauangalia kwa jicho la tatu uweza ukawa wa busara...ila ana vitisho kuharibiwa mahusiano kisa mchepuko ndo kinaniwasha kichwa

Mkuu mwanamke akikutongoza mwenyewe unakuwa huna sababu ya kuto mwambia kuwa una mtu unless kama unataka awe mbadala wa huyo uliyenaye kwa kipindi hicho.
 
mkuu mtoto angekuwa ni mdoli wa kumnunua karume na kumpa basi sawa ungempa mtoto... ila mtoto ni damu yako pia... so angalia isje ikawa shida katika maisha yako ya baadae maana damu nzito kuliko maji.... ukawa unataka upaweke sawa kwa huyu kumbe kwa mwengine unaharibu... tulia watoto wakiwa na mama tofaut tofaut huwa sio sana....

Asante kwa ushauri wako.
 
Japo umetudanganya tutakushauri,maana haiwezekani mwanamke akutongoze halafu ushindwe kumwambia kuwa una mtu tena ukizingatia mtu wako ni mjamzito.Pole kwa kulikoroga.

Lakini pole pia kwa kunasa kwenye mtego wa huyo wa pili wa kutaka umpe mimba.Kitendo cha wewe kuja kuomba ushauri kina onyesha kuwa kwa namna moja unataka kumkubalia ombi lake.

Pia pole kwa kuwa muoga maana inaonekana kitisho chake cha kusambaratisha uhusiano wako kimekuingia,kwa hili pia pole kwa kutokuwa mwanaume shababi maana ningekuwa mimi hicho kitisho ndio ingekuwa tiketi yake

Ushauri: Ukitaka uje kuishi maisha magumu hapa duniani basi wewe mpe huo ujauzito anaotaka.

huyo ni play boy kama jina lake, huwa wanajuta baada ya kumaliza tamaa zao, niliishi na mshikaji wangu mwenye tabia kama zake leo anaamua hivi kesho unakuta karudia ujinga huo huo, dawa yao watu wa namna hii ni kuwaacha tu wayamalize waonavyo wao
 
kwani we hiyo mimba unayo mpaka ummpe utampaje mtu kitu usichokuwa nacho,kama unayo mpatie
 
Mkuu simama kama mwanaume kama vipi oa wote ila kama unajiamini unaweza kuwa ongoza na kuwasimamia kama huwezi uyo mwanamke usimpe mimba tafuta njia ya kumuacha ambayo haita mumiza sana swala la watu kukuponda kwanini ulimkubalia wakati unae mwengine ndo mapenzi ya kibongo hata wao wanajijua mapungufu yao ila kumbuka sinaa ni uchafu mungu atakuhumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom