Mna haha unaweza ukadhani hizo pesa ni za bure kumbe ndo zitakua chanzo endelevu cha umasikini wenu mkiwa waajiliwa. Kama unaweza bora upate kiasi au ujilipie mwenyewe mfumo na muundo wa utawala wa tanzania hausaidie mzazi masikiniHabarini viongozi dhima ya huu uzi ni kutaka kupata update ya batch ya pili kwa wale wenzangu wa wait for allocation process
Mna haha unaweza ukadhani hizo pesa ni za bure kumbe ndo zitakua chanzo endelevu cha umasikini wenu mkiwa waajiliwa. Kama unaweza bora upate kiasi au ujilipie mwenyewe mfumo na muundo wa utawala wa tanzania hausaidie mzazi masikini
hebu acheni watu bana.Sawa mkuu nimetoa tu tahadhari sio kwamba wasikopshwe, ila wajue unakopeshea wasoma kozi gani????? Wasije wakawa kama hawa wanao tafutwa mtaani kwa kushindwa kulejesha mkopo na ajira hawana, kwasbb ya kusoma kozo irrelevant katika soko la ajira ni vizuri kua concious katika kutumia hiyo pesa sio donation, ujua madhara yake ya badaye. Inaweza ikakutesa maisha yako yote ya ujana kuilipa na riba yake juu.hebu acheni watu bana.
Mtu angekuwa na uwezo wa kujilipia angehaha?
Huna la kuongea ww acha wenye akili. WaongeeSawa mkuu nimetoa tu tahadhari sio kwamba wasikopshwe, ila wajue unakopeshea wasoma kozi gani????? Wasije wakawa kama hawa wanao tafutwa mtaani kwa kushindwa kulejesha mkopo na ajira hawana, kwasbb ya kusoma kozo irrelevant katika soko la ajira ni vizuri kua concious katika kutumia hiyo pesa sio donation, ujua madhara yake ya badaye. Inaweza ikakutesa maisha yako yote ya ujana kuilipa na riba yake juu.
Watu wamepata ndg, ninae dogo ambaye amepataMbona hao waliopata hatuwaoni
Mtandao leo sio mzuriLeo mbona account yangu ijagoma kufunguka
Me nmehangaika toka Juzi usiku bado nashindwa kuaccess mtandao wa HESLB.Leo mbona account yangu ijagoma kufunguka