miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,105
isheeeeeee
Mimi ni kijana wa miaka 24 ila kuna msichana nimekutana nae sasa ni mwaka na miezi kadhaa imepita mapenzi yetu ni mazuri.
Yeye ana miaka 29 na pia ni mkatoliki mimi ni mpentekoste nataka nimuoe na yeye pia anataka nimuoe vipi hapo inakuaje wadau nahofia kumpeleka kwa mama kwa hizo tofauti za umri na dini.
Kinachotakiwa ni upendo na heshima,dunia ya sasa hatuangalii wazazi/ndugu wana mtazamo gani,tunaangalia MOYO umependa?
Asante sana UPENDO NA HESHIMA upo,ila wazazi na ndugu ni shida
Vp mzee sema basi
Nakupenda!
dogo pambana na maisha kwanza...kula ujana mkuu,,,,kuoa mapema ni moja ya chanzo cha michepuko.....una 24, then ukifika 35 mwenzio ana 40,,,, ujue damu bado moto hapo,,, stress za kila aina utakuwa ushaziona....bado mtoto wewe, kama kipato iko poa wekeza kwanza......jijenge imarika kiakili....mwambie asubiri akizingua asepe.....ila uamuzi ni wako,,,pentekoste/katoliki yote ni ukristo wacha uzuzu mbwiga wewe...
Vp wewe uko which school of thought?Huyu nae ni think tank kwenye familia yao!? Kazi kwelikweli!
Aaahh...utoto mtamuu jamaniii looll...
Mimi ni kijana wa miaka 24 ila kuna msichana nimekutana nae sasa ni mwaka na miezi kadhaa imepita mapenzi yetu ni mazuri.
Yeye ana miaka 29 na pia ni mkatoliki mimi ni mpentekoste nataka nimuoe na yeye pia anataka nimuoe vipi hapo inakuaje wadau nahofia kumpeleka kwa mama kwa hizo tofauti za umri na dini.
Suala ni kupendana sio umrihakikisha mmependana kiukweliiii kabisa
Lakini hapo mbona inaonesha kuwa yeye ndio ana kuoa?