bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,374
- 3,972
Mimi ni kijana wa miaka 24 ila kuna msichana nimekutana nae sasa ni mwaka na miezi kadhaa imepita mapenzi yetu ni mazuri.
Yeye ana miaka 29 na pia ni mkatoliki mimi ni mpentekoste nataka nimuoe na yeye pia anataka nimuoe vipi hapo inakuaje wadau nahofia kumpeleka kwa mama kwa hizo tofauti za umri na dini.
Yeye ana miaka 29 na pia ni mkatoliki mimi ni mpentekoste nataka nimuoe na yeye pia anataka nimuoe vipi hapo inakuaje wadau nahofia kumpeleka kwa mama kwa hizo tofauti za umri na dini.