Naombeni msaada wenu jinsi ya kuua soo wakuu

fundi bishoo

JF-Expert Member
Jun 26, 2018
12,955
22,654
Habari zenu wakuu kama heading isemavyo naombeni mbinu pale unamuomba demu namba afu anakuambia kua hana simu hivi wakubwa huwa mnaua vp hili soo au mnatumia swaga gani jameni maana mdogo wenu huwa nkiambiwa hivyo tu nasepaaaa
Msaaada wakuuu
#yungtemper


yes bishoo haswaaa
 
Habari zenu wakuu kama heading isemavyo naombeni mbinu pale unamuomba demu namba afu anakuambia kua hana simu hivi wakubwa huwa mnaua vp hili soo au mnatumia swaga gani jameni maana mdogo wenu huwa nkiambiwa hivyo tu nasepaaaa
Msaaada wakuuu
#yungtemper


yes bishoo haswaaa
endelea kusubir embe liive mtini wenzako wanachuma ivo ivo bichi wanakula na chumvi. subir waje wakupe madongo yako maana ni upuuzi tu ulioandika apa mnatuhaibisha wanaume jaman
 
Habari zenu wakuu kama heading isemavyo naombeni mbinu pale unamuomba demu namba afu anakuambia kua hana simu hivi wakubwa huwa mnaua vp hili soo au mnatumia swaga gani jameni maana mdogo wenu huwa nkiambiwa hivyo tu nasepaaaa
Msaaada wakuuu
#yungtemper


yes bishoo haswaaa
Simple...unaenda nunua iphone x inampa then unaomba namba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa si kila mtu anajua kila kitu mkuu
Kumbuka bila ya kuwepo wajinga walo na akili wasingejulikana
endelea kusubir embe liive mtini wenzako wanachuma ivo ivo bichi wanakula na chumvi. subir waje wakupe madongo yako maana ni upuuzi tu ulioandika apa mnatuhaibisha wanaume jaman


yes bishoo haswaaa
 
Habari zenu wakuu kama heading isemavyo naombeni mbinu pale unamuomba demu namba afu anakuambia kua hana simu hivi wakubwa huwa mnaua vp hili soo au mnatumia swaga gani jameni maana mdogo wenu huwa nkiambiwa hivyo tu nasepaaaa
Msaaada wakuuu
#yungtemper


yes bishoo haswaaa

Namba ya kazi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom