Naombeni msaada wa haraka jamani

Naombeni msaada wa haraka jamani

Mr. madevu

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
432
Reaction score
75
Wadau hili jambo linaniuma sana. Jana nilinunua Galaxy S2 at&t used kutoka kwa rafiki yangu alitoka nayo nairobi.
Nikaona nifanye factory reset kabla ya kuitumia. Ila njia ya kawaida iligoma, nikasema ngoja nijaribu hard reset.
Ila baada ya kumaliza tu nikata kurestart ikaniandikia
"no OS installed, your phone is not rooted, Install SuperUs to reboot"
Ila nilishindwa kuistall Superus maana haipo, nikaamua kuireboot, ila ikiwaka inaonyesha logo ya samsung then haindelei tena.
Je nifanyaje wataalamu?
 
hio simu inabidi u reinstall rom sema kuna mambo mawili.

1.kuinstall rom ya kawaida
-kama simu ilishakua unlocked haitasumbua simu yako itapona,
-kama haijawa unlocked kuna hatari ya kuwa bricked na kutofaa kabisa

2. kuinstall rom ya at&t
-kuna posiibility ya kuwa locked tena uanze upya kui unlock
-pia inaweza ikafaa.

ushauri wangu kamuone fundi anaejua kuflash/ku unlock hivyo vifaa vya atnt ili akusaidie kufanya alone kuna risk ya kuiua.
 
hio simu inabidi u reinstall rom sema kuna mambo mawili.

1.kuinstall rom ya kawaida
-kama simu ilishakua unlocked haitasumbua simu yako itapona,
-kama haijawa unlocked kuna hatari ya kuwa bricked na kutofaa kabisa

2. kuinstall rom ya at&t
-kuna posiibility ya kuwa locked tena uanze upya kui unlock
-pia inaweza ikafaa.

ushauri wangu kamuone fundi anaejua kuflash/ku unlock hivyo vifaa vya atnt ili akusaidie kufanya alone kuna risk ya kuiua.

Nashukuru kwa kunitia moyo ndugu.
Ila hapa nimetembea nayo karibu kwa mafund 3 ninaowaamini ila wote wameshindwa.
Nadhani ilikua unlocked maana jaama alikua ameweka laini ya voda na alikua anaitumia.
Je hakuna njia rahisi yoyote ambayo sio risk ambayo ukinipa maelekezo naweza kufanya kwa makini na ikafaa?
 
Nashukuru kwa kunitia moyo ndugu.
Ila hapa nimetembea nayo karibu kwa mafund 3 ninaowaamini ila wote wameshindwa.
Nadhani ilikua unlocked maana jaama alikua ameweka laini ya voda na alikua anaitumia.
Je hakuna njia rahisi yoyote ambayo sio risk ambayo ukinipa maelekezo naweza kufanya kwa makini na ikafaa?

kaka hakuna njia isio na risk.

cha muhimu kabla ya kuieka rom mpya (kuiflash) inabidi ujue aina ya rom ya simu yako. japo ni galaxy s2 kuna baadhi ya rom za s2 hazifai kwenye simu yako hivyo unatakiwa ujue simu yako ni s2 ipi.

kuna s2 hizi hapa
sgh-I777
sgh-I9100
sgh-I9105

so wewe toa battery angalia kwa nyuma huko s2 yako ni ipi then ntakupa procedure za kufuata
 
kaka hakuna njia isio na risk.

cha muhimu kabla ya kuieka rom mpya (kuiflash) inabidi ujue aina ya rom ya simu yako. japo ni galaxy s2 kuna baadhi ya rom za s2 hazifai kwenye simu yako hivyo unatakiwa ujue simu yako ni s2 ipi.

kuna s2 hizi hapa
sgh-I777
sgh-I9100
sgh-I9105

so wewe toa battery angalia kwa nyuma huko s2 yako ni ipi then ntakupa procedure za kufuata

Asante mkuu
Yenyewe ni sgh-i777
 
Yenyewe ni sgh-i777.
Nasubiri mwongozo wako kiongozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom