Seaman86
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 370
- 408
Elimu yangu n form IV nilimaliza mwaka 2004 na kuscore div four ya 27.
Ninaomba msaada wa kujua njia za kupata chuo cha IT ndani ya mkoa wa dar es salaam kwani ninaujuzi wa computer na ninahitaji kusoma mpaka kupata diploma au degree ya IT
Naombeni ushauri wenu
Ni chuo gani kizuri kinachotoa elimu ya IT na chenye nafasi.
Asanteni sana
Ninaomba msaada wa kujua njia za kupata chuo cha IT ndani ya mkoa wa dar es salaam kwani ninaujuzi wa computer na ninahitaji kusoma mpaka kupata diploma au degree ya IT
Naombeni ushauri wenu
Ni chuo gani kizuri kinachotoa elimu ya IT na chenye nafasi.
Asanteni sana