NAombeni msaada kwa wanaofaham

NAombeni msaada kwa wanaofaham

man jile

Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
71
Reaction score
4
jamani mimi nimechaguliwa chuo cha ualimu wa masomo ya sayansi kreluu tc

lakini nmebahatika kupata saponsor ship kutoka serikalini
na nimeandikiwa kwenye profile langu nacte .

lakini nimejaribu kuwasiliana na mkuu wa chuo cha kreluu

majibu aliyonipa kasema kwamba

saponsor ship haitumwi chuoni wananitumia mm je, saponsor ship hiyooo nitaipataje???? ili niweze kwenda kusomaaa ??

anayejua hilo naomba mnisaidie ndugu zangu ili nichukue saponsor ship hyo nikasomeView attachment 448125
 
Back
Top Bottom