Naombeni msaada kurudi bongo

Mwenzio tibaijuka alitumia $5000+ kwaajili ya mboga sasa nikuulize ndugu mleta maada wewe unataka kula ugali mkavu?
 
mimi siogopi maisha nyie vyura, acheni hasira zenu na kunitisha na maisha.
Mwezi February mwaka kesho narudi bongo na pesa hii hii na nitaishi tu.
Na pia mademu wenu nitawagonga.
Teh teh...Mzee vipi usharudi?..Nataka demu wangu nianze kumfungia ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAKI YA MUNGU πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ NIMEONGEZA SIKU
 
Dah, mzee wa 51yrs unarudi home na $1800? Zaidi ya hiyo $ una assets zingine TZ?

Familia je unayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…