Naombeni msaada kuhusu hili tatizo

Mudhyd

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
492
Reaction score
507
Nimepiga window mpya jana katika PC yangu, lakini nashangaa toka nipige hyo window naletewa huu ujumbe baada ya kuingia internet nashindwa kuelewa nini tatizo, nimejaribu kutmia browser tofauti tofauti lakini bado tatizo liko palepale.
na katika website nlizoweza kuingia ni jamiiforum tu na facebook.
 

Attachments

  • Capture 5.PNG
    58.4 KB · Views: 59
Mbona nashindwa kuusoma maandishi yamekua hafifu sana mkuu sipati maana ya huo ujumbe
 
Ok thanks wanajamvi nimeshafix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…