Saskatchewan
Senior Member
- Oct 16, 2011
- 148
- 21
What weaknesses were observed in the implementation of the philosophy of Education for Self Reliance.
What weaknesses were observed in the implementation of the philosophy of Education for Self Reliance.
Google it. Inaelekea wewe ni mwanafunzi unatafuta desa la assignment. Umiza kichwa mwenyewe jombaa
...Uyajue mapungufu ya Mwl. ili yakusaidie nini? Mtu kupewa sifa lukuki haimaanishi hana mapungufu, kwani, binadamu wote wanamapungufu yao.wala mimi sio mwanafunzi. Nimeuliza sababu nahitaji kujua mapungufu ya Mwl. Nyerere ukizingatia ni kiongozi anayepewa sifa lukuki na watanzania
...Uyajue mapungufu ya Mwl. ili yakusaidie nini? Mtu kupewa sifa lukuki haimaanishi hana mapungufu, kwani, binadamu wote wanamapungufu yao.
...Sasa, naamini wewe ulisoma wakati ule -elimu ya umma ikiwa angalau nzuri- na ulijifunza mambo kadhaa kwa vitendo, ambayo yangeweza au yameweza kukusaidia kujitegemea na au kujiajiri. Mfano, masomo ya kilimo kwa vitendo -kilimo cha mboga, mahindi, nk- ambayo yalifundishwa katika mashule ya msingi na sekondari, kukiwa na walimu maalum kwa masomo hayo.
...Pengine ni vyema ukajikumbusha elimu iliyokuwa ikitolewa mashuleni baada ya azimio la arusha hadi lilipokuja azimio la zanzibar.
kufaham falsafa haitoshi kuweza kutambua uwezo wake kama kiongozi,ulishafikiria ni kiongozi yupi alifanya kuzaliwa kwa taifa hili hadi kufikia hapa 2lipo?
...Kuna jamaa kakwambia kuwa kama unatafuta majibu ya maswali ya darasani hutapata hapa. Nadhani yuko sahihi. Kama unajadili shiriki katika mjadala na sio kutaka majibu.Nani kasema binadamu hana mapungu? Anyway tuache kubishana. Nisaidie swali langu mkuu
*What weaknesses were observed in the implementation of the philosophy of Education for Self Reliance.
*
Talking of Philosophy naombeni mie niulize falsafa ya president wetu wa sasa mh. dk Jakaya M Kikwete!!
udhaifu uliopo ni kuwa waliopewa dhamana walishindwa kutekeleza kwa kuwa hawakuwa na bado hawana uwezo wa kuiweka nadharia katika vitendo
wala mimi sio mwanafunzi. Nimeuliza sababu nahitaji kujua mapungufu ya Mwl. Nyerere ukizingatia ni kiongozi anayepewa sifa lukuki na watanzania
...Kuna jamaa kakwambia kuwa kama unatafuta majibu ya maswali ya darasani hutapata hapa. Nadhani yuko sahihi. Kama unajadili shiriki katika mjadala na sio kutaka majibu.
...Ungefuatilia niyosema ungeona kuna njia ya kuelekea kwenye jibu. Ukweli ni kwamba, sina majibu.