ALFHA MWITA
Member
- Jun 28, 2025
- 83
- 105
Ndugu zangu watanzania wenzangu,kaka zangu,dada zangu,baba zangu na mama zangu.
Naombeni mnishauri aina ya biashara nayoweza kufanya na nikapata mafanikio ndani ya mda mfupi mfano ndani ya miaka mitano niwe angalau nimenunua kiwanja changu na nimejenga nyumba nzuri
Au unaweza ukanipa muongozo kwamba dogo tafuta kiasi fulani cha pesa ufanye hivi na hivi.
Au unaweza ukawa una biashara unayofanya na unahitaji kupanua matawi unaweza ukanichukua nikusaidie halafu uwe unanilipa. naweza kufanya angalau kwa muda fulani angalau nipate pa kuanzia.
Napo sema naomba msaada ukweli naomba msaada iwe ushauri iwe ni kuniajiri yote sawa
Naombeni wale mnaotukana msinitukane
Naombeni mnishauri aina ya biashara nayoweza kufanya na nikapata mafanikio ndani ya mda mfupi mfano ndani ya miaka mitano niwe angalau nimenunua kiwanja changu na nimejenga nyumba nzuri
Au unaweza ukanipa muongozo kwamba dogo tafuta kiasi fulani cha pesa ufanye hivi na hivi.
Au unaweza ukawa una biashara unayofanya na unahitaji kupanua matawi unaweza ukanichukua nikusaidie halafu uwe unanilipa. naweza kufanya angalau kwa muda fulani angalau nipate pa kuanzia.
Napo sema naomba msaada ukweli naomba msaada iwe ushauri iwe ni kuniajiri yote sawa
Naombeni wale mnaotukana msinitukane