Naombeni mnisaidie ktk windows phone yangu lumia 920.

Naombeni mnisaidie ktk windows phone yangu lumia 920.

wicalumtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
329
Reaction score
113
Natanguliza shukrani kwanza , naombeni mnisaidie nifanyaje maana simu yangu sikuitumia takribani miezi 4, kwasabu ya kuwa na ubovu wa betri na sasa betri imepatikana nikaiweka alafu nikacharge lakin muda wa saa 1 nkaitoa nikaanza kuifanyia setting lakn ilipoanza kupungua chaji ikanibd nichomeke chaji tena cha ajabu ikawa haijai ila asilimia zinazidi kupungua . Ikabd niizime afu niwashe . Nilipofanya ivo ndio ikaonesha kiwango sahihi cha chaji kwa asilimia . Ikawa inaendelea kuchajiwa lkn bado haioneshi ikiongezeka katika ile alama ya betri pale juu ila inapungua tu, ikanibid nifanye soft reset ambapo nikabonya power button na volume down had ilipovibrate . Lakin ilipovibrate ikaandika nokia logo alafu ikaweka rangi ya blue ikiwa na alama katikati yake, alama ile inaanza na semi coloni au nukta pacha na alama ya fungua mabano alafu inakaa sekunde chache afu inazima. Sasa sijajua tatizo ni nini , au kwasabu imekaa muda bila kutumika au nini hasa? Naombeni msaada .
 
Pole mkuu sa betri na software napo kuna uhusiano kweli na unaporeset simu sijui betri inahusishwa vip!!!!! Koz simu na betri inahusishwa pale unapokuwa unarun application nyingi kiasi cha kufanya betri iishiwe moto mapema, ila sa kwa tatizo lako labda niulize kitu kwanza simu yako ukiichaji ikiwa off inajaa? Pengine tuanzie hapo kama hujajaribu hebu jaribu kama haijai japo inaonesha inaingia kutakuwa na tatizo kwenye system ya charge ishanitokea kama mara mbili simu tofauti za android (kwa fundi simu akanitengenezea ikawa poa, ila kwa tatizo hilo ukichajia computer kwa kutumia usb wire huwa inajaa kawaida ila kwa charger haijai, ukijaribu kwa komputer ikakataa kujaa ni tatizo ambalo siwezi kuelezea tena chochote
 
Windows phone haingiz chaji ikiwa off, lazima iwake ndipo chaji inaanza kujaa. Na ukichajia pc bado vile vile tu
 
Back
Top Bottom