ISACOM
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 543
- 405
Kuuliza si ujinga.Nataka kujua hivi kama umepata degree ya kwanza halafu ikakuwezesha kupata Masters.Halafu ukagundua kuwa ile first degree yako haina soko na uliamua kubadili ukachukua masters tofauti na ile first degree yako.Je ukiamua kurudi chuo kusoma miaka mingine mitatu kama umri unakuruhusu na ukafanikiwa kupata degree pure nyingine.Swali linakuwa hivi'' hiyo degree uliyoipata kwa awamu ya pili ukiamua kutumia na Masters uliyopata kwa degree ya kwanza itakubalika?Na je kigezo cha kuwa hiyo Masters na degree kupishana miaka,ikionekana Masters imeitangulia miaka degree uliyoombea kazi haitoleta utata?