Jifunze kujua alama za nyakati, pia angalia kipindi cha mpito na uchunguze kazi na shughuli zake kwa wakati huu, hapo utapata jibu, kwa sababu huenda kwa sasa anashughuli nyingi, labda kuna tatizo lina msibu, na pia huenda ameamua kufanya hivyo ili aone unalipokeaje?